Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Anayejenga hasomewi majina anaenda [emoji23]. Karanga mpya na buti walishapelekewa wanasubiri nyumba zizinduliwe wapewe mgao wapande kwenye mabasi
 
Ujenzi gan tena wazeee
Kuna vijana walikuwa katika ujenzi wa nyumba kule tanga kwa ajili ya makazi ya wale Wamasai walioamishwa . Waliwapunguza makambini wanaume tu waende kujenga . kuna wapopo walidoji wengine wakafanya wanayofanya ili wasiende [emoji23] kukimbia kazi si unajua tena sifa wepesi. Haya sasa washakji wanaenda wote waliobaki ndio kama hivyo mapanga.wahuni huku tanga mchawi damu tu
 
Unaijua opereshn mabeyo ilikuaje kaka?
 
Opereshen mabeyo iliundwa unaware na vijana walipatikana vipi au ndo hao walioenda kujenga?
Op mobeyo iliundwa mwaka 2022 watu wapo aware nayo what do you mean "unaware ?" na ndio hao baadhi ya vijana walikatwa kwenda kujenga na ndio op iliyopo sahii ambayo mkataba wao unaisha mwaka huu.

Op ya nyuma inaitwa samia ilikuwa na mradi wa ujenzi lakini usio rasmi namaanisha upo chini ya Tanapa .
 
Sasa ivi mkitoa ronja tunaomba mtaje na vyeo vyenu msitupanikishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…