Swardolf102
JF-Expert Member
- Apr 6, 2024
- 295
- 320
Labda mwakajana 7bu mi mwenyewe nlipigwa azwea mwakajana na nlishanunua vitu tyr lkn bogi likapigwa Moja tu kihangaiko na oljoro likapigwa azweaLabda nimechanganya mwaka
Ndo iyoiyo mkuu.. kichwa kishapagawa iki😅😅Labda mwakajana 7bu mi mwenyewe nlipigwa azwea mwakajana na nlishanunua vitu tyr lkn bogi likapigwa Moja tu kihangaiko na oljoro likapigwa azwea
Nilichanganya miezi apa hii ndo ya mwisho naikumbuka kupigwa oljoro iliisha 30/09 kuna mwanng aliapa kwenye hii intakeUnazungumzia ile ambayo ilifungwa Kihangaiko mwezi wa 6 sijui 4 then wakafata Oljoro tarehe 30/10 au ipi?
Nilichanganya miezi tuHapana mkuu hyo ya oljoro iliisha September ya kihangaiko ndo iliisha june
Lkn awamu hiii lazma twende mkuuNdo iyoiyo mkuu.. kichwa kishapagawa iki😅😅
Nilichanganya miezi apa hii ndo ya mwisho naikumbuka kupigwa oljoro iliisha 30/09 kuna mwanng aliapa kwenye hii intake
Nilichanganya miezi tu
Hii me kwa upande wangu nawaza sana japo kama nikifanikiwa kuitwa usahili nauhakika 100% natoboa..Lkn awamu hiii lazma twende mkuu
Wengkne wanakuja siku mbilj kabla kozi kuanzaHivi baba kanituma c hata usahili awafanyagi wale?
Unataka kusema hata vipimo hawafanyiwi mkuu?Hivi baba kanituma c hata usahili awafanyagi wale?
Lazima wawe wamepimwa kivyao haiwezekan wasifanye vipimoUnataka kusema hata vipimo hawafanyiwi mkuu?
Wanafanya hakuna asiefanya vipimo utofauti unakuja kwamba hawakamiwi sana anaweza akawa na kasoro kama yako wewe ukaachwa yeye akaenda alafu wao mara nyingi hawapitii mlolongo kama utaopitia wewe..kama ulienda jkt kuna watu hua wanakuja kuapa na kozi hawajapiga wanapewa cheti wanaenda huo ni mfano sasaUnataka kusema hata vipimo hawafanyiwi mkuu?
Mambo ya Jeshi si ya kuhoji , asiyesikia la mkuu....!Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.
NB: Depo ya kihangaiko ya mvua ni balaa wazee. Jiandaeni kisaikolojia. Sijawahi kupiga hiyo, ila atleast kwa mazingira flani nimewahi kuona.
Uko wap mkuu nipo kariakoo hapa vifaa tununue woteLazima wawe wamepimwa kivyao haiwezekan wasifanye vipimo
Na ambao hawana Chet cha Jax kama ndugu yangu hapo juu inakuaje huko kwenye usahiliLazima wawe wamepimwa kivyao haiwezekan wasifanye vipimo
😂😂 Ndugu yangu kwan una private jet nini unalala kihangahiko matembezi dasilamaUko wap mkuu nipo kariakoo hapa vifaa tununue wote
Uzalendo hauniban mkuu.. hapa kila siku naripoti kwanza rts narud mtaan kufany mambo mengine😂😂 Ndugu yangu kwan una private jet nini unalala kihangahiko matembezi dasilama
Naomba kuulizwa swali ivi baba kantuma ni mtu yoyote mwenye mbanga au ni watu wa aina gani hao😬Wanafanya hakuna asiefanya vipimo utofauti unakuja kwamba hawakamiwi sana anaweza akawa na kasoro kama yako wewe ukaachwa yeye akaenda alafu wao mara nyingi hawapitii mlolongo kama utaopitia wewe..kama ulienda jkt kuna watu hua wanakuja kuapa na kozi hawajapiga wanapewa cheti wanaenda huo ni mfano sasa
Mbanga na Pia watoto wa wakubwa au kiufupi wale wenye connection Kubwaaa..Naomba kuulizwa swali ivi baba kantuma ni mtu yoyote mwenye mbanga au ni watu wa aina gani hao😬
Nunua soksi za kutosha,boksa za kutosha,chenji hela ata buku buku za laki hizi nitakwambia kazi yake kozi ikianza,Uko wap mkuu nipo kariakoo hapa vifaa tununue wote
Kama hauna cheti Cha Jax kwenye usahili unaweza wekwa pembeni kama hauna mbanga ila pia Mungu yupo unaweza penya tu ile ni kozi nyingne kabisa tofauti na Jkt mambo yanaanz na mojaNa ambao hawana Chet cha Jax kama ndugu yangu hapo juu inakuaje huko kwenye usahili