Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Hapan mkuu, mm sio active sana kwa hizi nina iman ndogo sana sana. So naziguaga tu, sijaomba hizi. Lkin taarifa hii nawez kuikubali n nimeambiwa mchakato wa sim n meseji ni too personal wengine wanatafutwa 3 weeks baada ya mchakato kuanza.

Vijana wasivunjike mioyo
Kwani ww si ulisema ushafika mpaka mmepewa na maslesha ya kufyeka
 
Ukiwa na maan nitumiwe mesej leo niropoti leoleo?
Hapana mbna jna mty wa mtaani kashafika msata mkuuy ukipigiwa sm unaambiwa uwasili lini unapewa mda hawa wavikosin hawajapewa hata siku mbili kwenda jiandaa kama wale wa op samia walivyo pewa mda ni mdogo sasa kama unataka upew wik nzima ya kujiandaa utasubir polisi ila jesh now wanakimbizana na muda
 
Watu Wana Siri sana
 
Wakuu nahitaji psycho therapist mmoja inbox mana bogi hili nikikosa naweza kujipiga kamba walahi. Njmeacha mpaka bangi iki nikienda kupimwa isionkane. Mpaka madem nimeachana nao kukuza nguvu za miguu na kuimarisha siksi paki
 
Umetisha sana founder wa huu Uzi🤣
Ungekuwa uzi wa kulipia, ningekuwa nimepiga sana hela…

Nimegundua vijana wengi hawana ajira. Serikali imegundua hilo ndio maana awamu hii watabeba wengi sana kutoka mtaani, kwa kuwa ajira za kiraia ni chache sana…

Wameona ni bora wakawapeleke porini huko 😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…