Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kwani ww si ulisema ushafika mpaka mmepewa na maslesha ya kufyeka
Ukiwa na maan nitumiwe mesej leo niropoti leoleo?Jana niliambiwa wanaanza leo so ueenda teyar washaripot sijaongea nae tna boss
Hapana mbna jna mty wa mtaani kashafika msata mkuuy ukipigiwa sm unaambiwa uwasili lini unapewa mda hawa wavikosin hawajapewa hata siku mbili kwenda jiandaa kama wale wa op samia walivyo pewa mda ni mdogo sasa kama unataka upew wik nzima ya kujiandaa utasubir polisi ila jesh now wanakimbizana na mudaUkiwa na maan nitumiwe mesej leo niropoti leoleo?
Watu Wana Siri sanaHapana mbna jna mty wa mtaani kashafika msata mkuuy ukipigiwa sm unaambiwa uwasili lini unapewa mda hawa wavikosin hawajapewa hata siku mbili kwenda jiandaa kama wale wa op samia walivyo pewa mda ni mdogo sasa kama unataka upew wik nzima ya kujiandaa utasubir polisi ila jesh now wanakimbizana na muda
Marage yalio ungwa na nazi
Hivi mnataka lonja gani nyinyi vijana majina yote ya vikosini yameshatoka wale wa uraiani subiri wiki ijayo.Lete lonja mkuu achana na habar za makuzi, hizo tuachie wenyew.. nyie watu mnaoheshimika kwa details za maana tu.
Like zisi. Umetisha mkuuHivi mnataka lonja gani nyinyi vijana majina yote ya vikosini yameshatoka wale wa uraiani subiri wiki ijayo.
Kwanini mkuuWatu Wana Siri sana
Hawatak kuaminHivi mnataka lonja gani nyinyi vijana majina yote ya vikosini yameshatoka wale wa uraiani subiri wiki ijayo.
Kama ni hao basi mtaani watabebwa wengiUnaambiwa msomera wamebebwa 800
Asilimia 80 mkuu… 😎Vp we lkn c uhakika kutimba rts
Ungekuwa uzi wa kulipia, ningekuwa nimepiga sana hela…Umetisha sana founder wa huu Uzi🤣
Basi hii imevunja record😃😃Unaambiwa msomera wamebebwa 800
Mkuu nina ndugu yangu ana degree hajasomwaMSOMERA NI 700 WAKUU SIO 800