Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Nisichokijua kipi Ndugu yangu Unaleta habari za vyombo vingine vya ulinzi kwamba ukituma maombi lazima itoke list ya majina nani kakudanganya huku Tpdf ni kwngne kabisa sio lazima itoke PDF ya majina usiwadanganye watu ngoma inaitwa kwa simu na sms tu
Mm LIMUBUYU JIMBANGA LANGU limeniambia niache mapepe.... simu moko tu! NitPigiwa simu haya ya pdf hayapo kabisa. N mbanga zimekataa mfumo huo man watanzania watapiga kelele wakiona jina Mkunda limetokea kwa vijana sita
 
Nawakumbusha tu kwa hizi kozi za ajira Mbanga wa uhakika ni kuanzia KANALI
Hahaha so Kwanzia kanali kuna dogo anamifumo na ni Private yupo zake mission uko MT. Ndug yake kutoka mafinga ana gamba la standard seven kasomwa jina vizuri kabisa ni Mifumo tu. Ata mtu ambae sio mwanajesh anaweza kuwa na mfumo ikiwa anaongea vzr na wakuu
 
Mm LIMUBUYU JIMBANGA LANGU limeniambia niache mapepe.... simu moko tu! NitPigiwa simu haya ya pdf hayapo kabisa. N mbanga zimekataa mfumo huo man watanzania watapiga kelele wakiona jina Mkunda limetokea kwa vijana sita
Limubuyu lako umeishalipa details au,,, maana kuna wajuba huku wanasema wanasubili kwenda hapo Kati na hawajatuma maombi wala mpaka dk hii bado doc zao mbanga ajachukua😀😀
 
Mm LIMUBUYU JIMBANGA LANGU limeniambia niache mapepe.... simu moko tu! NitPigiwa simu haya ya pdf hayapo kabisa. N mbanga zimekataa mfumo huo man watanzania watapiga kelele wakiona jina Mkunda limetokea kwa vijana sita
SAhihi mkuu ila hawaofii hilo bali tu ni sababu za kiusalama zaidi hatuwezi weka wazi majina ya soldier labd mapongo uko ndo majina yao yanakuwa kwenye list 🤣🤣
 
Limubuyu lako umeishalipa details au,,, maana kuna wajuba huku wanasema wanasubili kwenda hapo Kati na hawajatuma maombi wala mpaka dk hii bado doc zao mbanga ajachukua😀😀
Mkuu mm nimemtumia lumubuyu lijimbanga vyeti ijumaa iliyopita yani juzi tu

Na inasemekan mpka leo hajavipeleka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Si watamuonea huko jeshini mwachi wetu jamani!!
Sema mnapendana had raha wenyewe na mwachi wako
Mie na mwachiiii, tukoo winjaa winjaaa, kuna vidudu mtu ndo kirusii kwetuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio wapi oljoro?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi Mwachiii uko msata kweli wee? Yaan hata Ngere ngere hupajui.

Mwachii acha kutupiga fix, wee uko hapo ghetton kwako umetulia zako, afu hapaaa unatuletea njegekaa, mxxxxxiiiiieeeeew.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom