Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Au bog limemkataaa kisa umri apunguze bhnaVichwa vina mambo mengi 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au bog limemkataaa kisa umri apunguze bhnaVichwa vina mambo mengi 😅
Huyo ni psuWadau mlioko huko JW naomba kufahamu huyo mwamba hapo kushoto kabisa ni kikosi gani,mbona vazi lake ni tofauti, na pia inahitaji nini ili mtu avae gwanda kama hilo?
View attachment 3080818
Una uhakika?mpaka sasa walioripoti ni vijana kutoka mafinga oljoro itende ndio wameingia now na msangeWakuu msata hakuna aliyeenda mpka saiv tusipeane ronja za uongo watu wataanza kuingia mwez wa 9
Joto Kali sana jioni hii so mmekula wali na maharageAhahahah hapa msata kunajoto sana natamani kula ukuta nimenyoa upara mda wote napigwa kichwani kichwa cha umaa
Marage yalio ungwa na naziJoto Kali sana jioni hii so mmekula wali na maharage
Sio ronja hiyo na haihusiani na wale waliomba mtaani relax usiogopeSasa ivi mkitoa ronja tunaomba mtaje na vyeo vyenu msitupanikishe
Ndio mwaka jana . itakuwa ajabu Kama mtu hauko kambini umeomba online unapaniki. sasa unapaniki na majina ya mtaani yanatoka mtandaoni . wenzenu wanasomewa wa kambini unapigwa panga unajiona hao ndio wanatakiwa wapanikiAnhaa so opereshen mabeyo Walsingham kozi mwez gan mwaka jana sio wa kwqnza?
Hakuna mkeka ndiomana uliombwa namba ya simu.. mwaka jana mwezi wa tatu walituma maombi pia uliona kuna mkeka wowote Hakuna anaemtisha mtu ila uhalisia ndio ulivo subiri kwenye mwezi wa tatu utaona kwa millardayo vijana 3500 wahitimu mafunzo ya awaliIfikie kipindi watu muache kutishana huku kuna watu mna uzoefu wa kuomba nafasi katika majeshi mbalimbali uhamiaji, magereza etc sasa umetumia anuani ya makao makuu majibu wawaletee kwenye sms kiholela hakuna hicho kitu
Lazima utoke mkeka acheni kutishwa
Hahaha yaaan kwamb PDF iandaliwe kwaajili ya nani Afande haha ni mwendo wa simu tu hakuna PDF apo mzeeIfikie kipindi watu muache kutishana huku kuna watu mna uzoefu wa kuomba nafasi katika majeshi mbalimbali uhamiaji, magereza etc sasa umetumia anuani ya makao makuu majibu wawaletee kwenye sms kiholela hakuna hicho kitu
Lazima utoke mkeka acheni kutishwa
CashX wananidai na jana kuna namba mpya imenipigia sijapokea.. hii namba inayopigia watu inaishia na ngapi wazee nisije kukosa dili kwa sabab ya kuogopa sim za madeniHahaha yaaan kwamb PDF iandaliwe kwaajili ya nani Afande haha ni mwendo wa simu tu hakuna PDF apo mzee
Mwamba unaheka heka sana wew pokea kila simu kama ni Cash X waambie hauna hela ukipata kazi utalipa hawana cha kukufanyaCashX wananidai na jana kuna namba mpya imenipigia sijapokea.. hii namba inayopigia watu inaishia na ngapi wazee nisije kukosa dili kwa sabab ya kuogopa sim za madeni
Namba zinazopiga zipo tofauti tofaut hawez pigia simu namba moja watu wengii sanaCashX wananidai na jana kuna namba mpya imenipigia sijapokea.. hii namba inayopigia watu inaishia na ngapi wazee nisije kukosa dili kwa sabab ya kuogopa sim za madeni
Ukisema wengi una mannish idad ya watu wangapi, let's clear the quantity doubtsNamba zinazopiga zipo tofauti tofaut hawez pigia simu namba moja watu wengii sana
Ata Buku tu ni wengi Pot Watu buku hawawezi Pigiwa simu na Mtu mmojaUkisema wengi una mannish idad ya watu wangapi, let's clear the quantity doubts
Nipe namba ya mkunda nimpe maelekzo mkuuAta Buku tu ni wengi Pot Watu buku hawawezi Pigiwa simu na Mtu mmoja
Huku kuna wageni naona [emoji23]. Ushawahi andika barua ya kuomba kazi makao ya jeshi lolote nijibu hilo swali kwanza ?Hahaha yaaan kwamb PDF iandaliwe kwaajili ya nani Afande haha ni mwendo wa simu tu hakuna PDF apo mzee