Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Unanichekeshaaa Mwachiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayaa kurutaaa, piga tiziii, piga jarambaa, vaa gwandaa.
Watu weuweeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku nikivaa bakabaka napita selfika live kabisa ila natoa name tag 😂😂😂
 
ahaahahhah kwamba kinyago ulicho kichonga mwenye hakikutishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwachiii hata uvae gwandaa, labda uwe na wenzio.
Lakini pekee akoo, aaaah thubutuuu,naweza hata kukuvua kofiaa.

Ila upambanee sasa huko mwayaaa, uje tufaidi pesaa hizoo.
Ntakua chawa wako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mwachii uko msata,? Nyiee nachekaa huku hatariiiii.
Woiiiiiiih, jeshii limeiingiliwaa!!

Lamomy uduguuu njoo ujioneee huku mamboo yamekwivaaaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 Si watamuonea huko jeshini mwachi wetu jamani!!
Sema mnapendana had raha wenyewe na mwachi wako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwachiii hata uvae gwandaa, labda uwe na wenzio.
Lakini pekee akoo, aaaah thubutuuu,naweza hata kukuvua kofiaa.

Ila upambanee sasa huko mwayaaa, uje tufaidi pesaa hizoo.
Ntakua chawa wako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah nimecheka sana ety utanivua balleti?
 
Back
Top Bottom