Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Achana na kuuliz mkuu nitaftie wateja tukimbize mzigo tupate hela. Huko rts watakuua mapema mapema kazi gani zile za kukwepa mabomulabda nikawauzie Madawili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na kuuliz mkuu nitaftie wateja tukimbize mzigo tupate hela. Huko rts watakuua mapema mapema kazi gani zile za kukwepa mabomulabda nikawauzie Madawili
Usiwaze subiri wanitumie sms halafu nikatae kwenda ndo tuuze mikobaAchana na kuuliz mkuu nitaftie wateja tukimbize mzigo tupate hela. Huko rts watakuua mapema mapema kazi gani zile za kukwepa mabomu
Mnakimbia tu bila sababu?Tupo msata tushaanza kimbia
Mbio za chakulaMnakimbia tu bila sababu?
Mimi na ushahida kabisa watu washaenda bog la kwaza la 839kj wamefika jana ikifwatiwa na chita orljolo na kanembwe hawa wengine wamefika leoWakuu msata hakuna aliyeenda mpka saiv tusipeane ronja za uongo watu wataanza kuingia mwez wa 9
Kumekuchaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anayejenga hasomewi majina anaenda [emoji23]. Karanga mpya na buti walishapelekewa wanasubiri nyumba zizinduliwe wapewe mgao wapande kwenye mabasi
Wente elimu kuna ugumu badoAcha niwape za uhakika. Jana wamesomewa majina kwenye makambi yote ya jkt na Leo zoezi Hilo linaendelea kwa wale vijana walioko kwenye kazi maalum nje ya vikosi wengine wqnajenga N.k
Walioko nje kuanzia jumatano hii kueni hewani unaweza pigiwa simu a sms. Watu wanahitajika ni wengi sana kwahiyo endelea kusali sana pengine ukapata nafasi. Asanteni sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapi naweza pata bange originally wakuu hii y mwaka huu kalii... nishawanga na kuwanga, jana nimeamkia kwa mwamposa leo kwa suguye. Dua bado nene wazee kichwa kinapata moto [emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]22 people are here [emoji23][emoji119][emoji119]
Hapa c Mgulani?Baba kantuma Kalaga Baho Nongwa uko wapi ndo tunakuja mtaani kwenu kukuchukuaView attachment 3080559
ndiooHapa c Mgulani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mwachii uko msata,? Nyiee nachekaa huku hatariiiii.Tupo msata tushaanza kimbia
Mambo sio rahisi hivo na mwanangu Moja mzee wake Alikuwa CP miaka Fulani mchizi kitengeee hajavaa mzee alikuwa 1 star GenKwahyo kama mbanga wako anafanya kazi kwenye ofisi ya CP kuvaa kitenge uhakika?😎
Poaa poaa.ndioo
Nipo nakimbia uku mbio za chakula ila chakula si haba mchana tumekula ugali rost ya nyama mboga za majani na otamilo hapa nimeshiba nasubiri kuitika lokooo tumwagwe tukasimame mnazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mwachii uko msata,? Nyiee nachekaa huku hatariiiii.
Woiiiiiiih, jeshii limeiingiliwaa!!
Lamomy uduguuu njoo ujioneee huku mamboo yamekwivaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unanichekeshaaa Mwachiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo nakimbia uku mbio za chakula ila chakula si haba mchana tumekula ugali rost ya nyama mboga za majani na otamilo hapa nimeshiba nasubiri kuitika lokooo tumwagwe tukasimame mnazi
Kalaga Baho Nongwa hayupo sito ya nyuma ya dereva kweli apo?Baba kantuma Kalaga Baho Nongwa uko wapi ndo tunakuja mtaani kwenu kukuchukuaView attachment 3080559