Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ndio hao madogo pesa za home zinawavuluga ata hapa yupo mmoja mzee kanali usaili wa BMS dogo kakimbia hataki kuskia izo habari
Wapo wengi sana hao wengine wanafosiwa na wazee kutokana na love yao kwa jeshi lakini madogo hawataki.

Hawa hata kozi miyeyusho
 
Dogo namuuliza malengo yako nini mana ata chuo aliacha anasema yeye anataka kua kama kenny na hanscana nilimuwasha bao moja qmmke
Ujue kila mmoja anakuwa na marengo yake na ndoto tunachokosea wabongo ndoto za mzazi ndizo zinapewa kipaumbele lakini ukijaribu kufwata kile anachotaka mtoto sometimes kinakuwa bora kwake
 
Dogo namuuliza malengo yako nini mana ata chuo aliacha anasema yeye anataka kua kama kenny na hanscana nilimuwasha bao moja qmmke
Wakati humu kuna kaka zake wanapiganisha kila siku ila holla na hawakati tamaa.

Daah! Kweli maisha haya fanani wanasema upele humuota asiye na kucha.
 
Wakati humu kuna kaka zake wanapiganisha kila siku ila holla na hawakati tamaa.

Daah! Kweli maisha haya fanani wanasema upele humuota asiye na kucha.
Alivoenda chuo CBE pale akapiga kozi ya IT akasema ngumu akaacha chuo akarudi kwa mzee wake akataka amfosie mzee akamwambia kula jeuri yako saivi anahangaika na mambo ya production
 
Ila humuu kuna comments zinachekeshaaa hatareee!! Kila siku nasemaa humu wako Hoya hoyaa.

Wenyee uhakika, wametuliaa tuliiii huko makwaoo, kusubiri kwendaa kihangaikoni.

Mtauana kwa pressure bureee, Woiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mama niongee mara ngapi? Mm niko kihangaiko muda huu hapa na mbanga zao. Mm mwemyew mbanga! Yan kabla ya kozi hapa rts naheshimiwa kinyax
 
Dogo namuuliza malengo yako nini mana ata chuo aliacha anasema yeye anataka kua kama kenny na hanscana nilimuwasha bao moja qmmke
Anafata anachokipend😂, kama director mmj iv yule alieshoot hakuna matata ya marioo, mzee wake alikua brigedia, dogo jeshi halipo damuni kbsa ndio mzee wake akaamua am support dogo kwenye ishu zake na kweli kashajipata.
 
Back
Top Bottom