Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Huyo mzee hakuwa serious au hakutaka tu dogo avae gwanda au dogo mwenyewe hakutakaAta koplo anakupeleka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzee hakuwa serious au hakutaka tu dogo avae gwanda au dogo mwenyewe hakutakaAta koplo anakupeleka
Ndio hao madogo pesa za home zinawavuluga ata hapa yupo mmoja mzee kanali usaili wa BMS dogo kakimbia hataki kuskia izo habariHuyo mzee hakuwa serious au hakutaka tu dogo avae gwanda au dogo mwenyewe hakutaka
Atakua hajui maana ya CP huyo jamaa🤣Kwamba baba mpishi afu usile nyama labda kama kibogoyo
Wapo wengi sana hao wengine wanafosiwa na wazee kutokana na love yao kwa jeshi lakini madogo hawataki.Ndio hao madogo pesa za home zinawavuluga ata hapa yupo mmoja mzee kanali usaili wa BMS dogo kakimbia hataki kuskia izo habari
Dogo namuuliza malengo yako nini mana ata chuo aliacha anasema yeye anataka kua kama kenny na hanscana nilimuwasha bao moja qmmkeWapo wengi sana hao wengine wanafosiwa na wazee kutokana na love yao kwa jeshi lakini madogo hawataki.
Hawa hata kozi miyeyusho
Ningekusaidia kupata namba zakeila nawaza naanzaje kumwambia mzee anipe namba za huyo mkubw wake kwa lengo la msaada , kipengele, ila nawaombea wakuu🙏 mfanikiwe.Nipe kana unayo nimpe maelekezo yangu
Labda mana haiingii akiliniAtakua hajui maana ya CP huyo jamaa🤣
Ujue kila mmoja anakuwa na marengo yake na ndoto tunachokosea wabongo ndoto za mzazi ndizo zinapewa kipaumbele lakini ukijaribu kufwata kile anachotaka mtoto sometimes kinakuwa bora kwakeDogo namuuliza malengo yako nini mana ata chuo aliacha anasema yeye anataka kua kama kenny na hanscana nilimuwasha bao moja qmmke
Msaidie kijana bhnaNingekusaidia kupata namba zakeila nawaza naanzaje kumwambia mzee anipe namba za huyo mkubw wake kwa lengo la msaada , kipengele, ila nawaombea wakuu🙏 mfanikiwe.
Wakati humu kuna kaka zake wanapiganisha kila siku ila holla na hawakati tamaa.Dogo namuuliza malengo yako nini mana ata chuo aliacha anasema yeye anataka kua kama kenny na hanscana nilimuwasha bao moja qmmke
Sio msaada, mwambie kuna mtu ana maelekezo yake kutoka SMZNingekusaidia kupata namba zakeila nawaza naanzaje kumwambia mzee anipe namba za huyo mkubw wake kwa lengo la msaada , kipengele, ila nawaombea wakuu🙏 mfanikiwe.
Alivoenda chuo CBE pale akapiga kozi ya IT akasema ngumu akaacha chuo akarudi kwa mzee wake akataka amfosie mzee akamwambia kula jeuri yako saivi anahangaika na mambo ya productionWakati humu kuna kaka zake wanapiganisha kila siku ila holla na hawakati tamaa.
Daah! Kweli maisha haya fanani wanasema upele humuota asiye na kucha.
We mama niongee mara ngapi? Mm niko kihangaiko muda huu hapa na mbanga zao. Mm mwemyew mbanga! Yan kabla ya kozi hapa rts naheshimiwa kinyaxIla humuu kuna comments zinachekeshaaa hatareee!! Kila siku nasemaa humu wako Hoya hoyaa.
Wenyee uhakika, wametuliaa tuliiii huko makwaoo, kusubiri kwendaa kihangaikoni.
Mtauana kwa pressure bureee, Woiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm anipe namba nimpe odaMsaidie kijana bhna
Ahhahah we kiboko kumbe unataka kutoa oda jambo afandeMm anipe namba nimpe oda
Uzi wa kazi huu wadau wameanza kuandika stories za misibaAhhahah we kiboko kumbe unataka kutoa oda jambo afande
Nan kaongelea msiba hapa mkuiUzi wa kazi huu wadau wameanza kuandika stories za misiba
Oya kausheni kama huna ronja huna update kaa kwa kutulia stori za vyakula apa zanini sasa
Anafata anachokipend😂, kama director mmj iv yule alieshoot hakuna matata ya marioo, mzee wake alikua brigedia, dogo jeshi halipo damuni kbsa ndio mzee wake akaamua am support dogo kwenye ishu zake na kweli kashajipata.Dogo namuuliza malengo yako nini mana ata chuo aliacha anasema yeye anataka kua kama kenny na hanscana nilimuwasha bao moja qmmke
Iba namba mkuu 😂😂 mambo yasiwe mengiNingekusaidia kupata namba zakeila nawaza naanzaje kumwambia mzee anipe namba za huyo mkubw wake kwa lengo la msaada , kipengele, ila nawaombea wakuu🙏 mfanikiwe.
Vichwa vina mambo mengi 😅Nan kaongelea msiba hapa mkui