Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Mi sijawah omba mzee mi nishavaa bila ata kuombaHuku kuna wageni naona [emoji23]. Ushawahi andika barua ya kuomba kazi makao ya jeshi lolote nijibu hilo swali kwanza ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sijawah omba mzee mi nishavaa bila ata kuombaHuku kuna wageni naona [emoji23]. Ushawahi andika barua ya kuomba kazi makao ya jeshi lolote nijibu hilo swali kwanza ?
Basi usiongee usichokijua .Mi sijawah omba mzee mi nishavaa bila ata kuomba
Vijana mmeanza kuvimbiana sasa😁Mi sijawah omba mzee mi nishavaa bila ata kuomba
Hata teenagers Ni vijana [emoji3] unaweza kuta unavimbiana na mtoto wako au mdogo wakoVijana mmeanza kuvimbiana sasa[emoji16]
Mara nyingi wanadili na mishonoVipi kama una kovu mkononi uliungua toka ukiwa mdogo wanazingatia? Kovu sio kubwa lipo mkono ila linaonekana
Sio kweri ata koplo anafanikisha jambo unajua ile team ya ulinzi ya mkuu wa majeshi au wale star gen wote akuna mwenye cheo cha kanali sasa wale ndio watu wakula nao sahani moja mana wsnashinda na watu wazito woteNawakumbusha tu kwa hizi kozi za ajira Mbanga wa uhakika ni kuanzia KANALI
Nawakumbusha tu kwa hizi kozi za ajira Mbanga wa uhakika ni kuanzia KANALI
Umeua kabisa acha aendelee kukalili huku PT tu wa rtiesin anaweza set mambo na wakulu raia wake wakatia timu hapo Kati😂Sio kweri ata koplo anafanikisha jambo unajua ile team ya ulinzi ya mkuu wa majeshi au wale star gen wote akuna mwenye cheo cha kanali sasa wale ndio watu wakula nao sahani moja mana wsnashinda na watu wazito wote
Watu apa wamekalili sana kuna siku nilisema kanali anaefanya kazi chita sio sawa na koplo anaefanya kazi tawi la utumishi MMJWe jamaa wa ikulu imekuja kuokota raia zako....kuna mwamba hapo juu kashamaliza kila kitu anaweza kuwa ana cheo kidogo ila yeye ndio ameshibana na wakubwa huko juu na utashi wake wa kuchekecha mambo ukazama chomboni...
Watu apa wamekalili sana kuna siku nilisema kanali anaefanya kazi chita sio sawa na koplo anaefanya kazi tawi la utumishi MMJ
ishu anafahamiana na nani ilo ndio la muhimu kaka usimdharauNa vp upande wa cpl/sajent wa Rts oljor au khnghk
Liveeeishu anafahamiana na nani ilo ndio la muhimu kaka usimdharau
Mnawatia moto na pressure watu wanaotegemea Mungu ndo awaonekanie, mtu akicheki hana mbuyu alafu nanyie mnasema mara cpl rts heheheNa vp upande wa cpl/sajent wa Rts oljor au khnghk
Umu Amna mwenye lonja ya uhakika kakaMnawatia moto na pressure watu wanaotegemea Mungu ndo awaonekanie, mtu akicheki hana mbuyu alafu nanyie mnasema mara cpl rts hehehe
Mwenye updates za leo uwanja upo wazi
Kwahyo kama una mshono popote unarudishwaMara nyingi wanadili na mishono
Ulimpata yule mganga uliokuwa unamuhitaji kuna mahali nasikia yupo uyo konki sana Morogoro ndanindani😁CashX wananidai na jana kuna namba mpya imenipigia sijapokea.. hii namba inayopigia watu inaishia na ngapi wazee nisije kukosa dili kwa sabab ya kuogopa sim za madeni
Morogoro mbali sana, nataka kabla sijaingia mjengoni nimalizane n wachawi wangu kabisaUlimpata yule mganga uliokuwa unamuhitaji kuna mahali nasikia yupo uyo konki sana Morogoro ndanindani😁
Yesssssssssss... mm naamin katika layersNawakumbusha tu kwa hizi kozi za ajira Mbanga wa uhakika ni kuanzia KANALI
Nisichokijua kipi Ndugu yangu Unaleta habari za vyombo vingine vya ulinzi kwamba ukituma maombi lazima itoke list ya majina nani kakudanganya huku Tpdf ni kwngne kabisa sio lazima itoke PDF ya majina usiwadanganye watu ngoma inaitwa kwa simu na sms tuBasi usiongee usichokijua .