Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Na wanaenda keshk kihangaikoUnaambiwa msomera wamebebwa 800
Sio ndugu yako tu vikosini hakuna mwenye elimu amebebwaMkuu nina ndugu yangu ana degree hajasomwa
Hivi shida ni nini mbona hawachukui degree au degree wanaweza chukua siku za hivi karibuni?
Lini itatokea ttenaSio ndugu yako tu vikosini hakuna mwenye elimu amebebwa
Ngoj tuone km kweli kuna bog la wasomi peke yaoLini itatokea ttena
Kuna hiyo lonja?Ngoj tuone km kweli kuna bog la wasomi peke yao
Hapan mkuu, mm sio active sana kwa hizi nina iman ndogo sana sana. So naziguaga tu, sijaomba hizi. Lkin taarifa hii nawez kuikubali n nimeambiwa mchakato wa sim n meseji ni too personal wengine wanatafutwa 3 weeks baada ya
Kwanini hawa wamechukuliwa wengi hivi ni kambi moja au ndo wale wa mobeyo?MSOMERA NI 700 WAKUU SIO 800
Bogi la wasomi linakuja na professionality. Wakigitaji madktari, wahandisi, fundi umeme, madereva wanatangaza na idadi ya wahitajika. Hii inabebaga mpaka professionals ambao hawajapita vikosi. Hili sijaliskia mkuu may be kama ipo itaweza kusikika sikika mwez wa 11Kuna hiyo lonja?
Mm sina jib la hii mkuu labda wenzetu walioko kwenye system hiyoKwanini hawa wamechukuliwa wengi hivi ni kambi moja au ndo wale wa mobeyo?
Unaambiwa msomera wamebebwa la 7 na form 4 tuMkuu nina ndugu yangu ana degree hajasomwa
Hivi shida ni nini mbona hawachukui degree au degree wanaweza chukua siku za hivi karibuni?
Ndivyo navyo sikiqKuna hiyo lonja?
Ndio ipo ivyo nasikiaBogi la wasomi linakuja na professionality. Wakigitaji madktari, wahandisi, fundi umeme, madereva wanatangaza na idadi ya wahitajika. Hii inabebaga mpaka professionals ambao hawajapita vikosi. Hili sijaliskia mkuu may be kama ipo itaweza kusikika sikika mwez wa 11
Huu mwaka tunaweza toboa hawa wakuu hawaelewekiBogi la wasomi linakuja na professionality. Wakigitaji madktari, wahandisi, fundi umeme, madereva wanatangaza na idadi ya wahitajika. Hii inabebaga mpaka professionals ambao hawajapita vikosi. Hili sijaliskia mkuu may be kama ipo itaweza kusikika sikika mwez wa 11
Hawataki wasomi duhUnaambiwa msomera wamebebwa la 7 na form 4 tu
Ila hizi coment zakeIla nakiri tu kwamba hili bogi linakula watu wengi sana. Kuliko vile mnavyodhania. Its more than 6000 wazee. Mana kun mbanga mmoko alipewa nafas 50 peke yKe. Msitangaze saaasa
Ahahha lazima tutangaze ππIla nakiri tu kwamba hili bogi linakula watu wengi sana. Kuliko vile mnavyodhania. Its more than 6000 wazee. Mana kun mbanga mmoko alipewa nafas 50 peke yKe. Msitangaze saaasa
Ushahid mnao?Ahahha lazima tutangaze ππ
Ngojaa wajee wakupee muongozoo.Wakuu hivi kuna aliepigiwa simu?? Au sisi wa uraiani bado?
Wee ni muongoo mwachiii, tutolee njegekaa zakoo hapa.Tunaendelea kuimba chenja uku Kalaga Baho Nongwa
Sameja sameja mpenda kwata sameja
Oc oc mpenda sifa oc oc mpenda sifa Ο
Angeficha cheti Cha degree ,, angeweka Cha sixMkuu nina ndugu yangu ana degree hajasomwa
Hivi shida ni nini mbona hawachukui degree au degree wanaweza chukua siku za hivi karibuni?
AiseeAngeficha cheti Cha degree ,, angeweka Cha six