Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mi natabiri kuna bogi la Wasomi linakuja, tena hawa hata Jax haitohusika.
Bogi la hawa wa kuendesha hizi chuma
20240828_002245.jpg
 
Jirani yangu kamaliza koz mwezi wa 6 na alkua na degree
Ivi unaelewa ata maana ya military science ndugu labd tuanzie apo military science ni Fresh from school form six tu sasa huyo kamaliza degree tena apelekwe kusoma degree nyingne kwelii duuuh
 
Back
Top Bottom