Bogi la hawa wa kuendesha hizi chumaMi natabiri kuna bogi la Wasomi linakuja, tena hawa hata Jax haitohusika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bogi la hawa wa kuendesha hizi chumaMi natabiri kuna bogi la Wasomi linakuja, tena hawa hata Jax haitohusika.
Na zimekabidhiBogi la hawa wa kuendesha hizi chumaView attachment 3081636
Mi natabiri kuna bogi la Wasomi linakuja, tena hawa hata Jax haitohusika.
Bogi la hawa wa kuendesha hizi chumaView attachment 3081636
🤔 it sound like true... mpaka idhirike kuwepo kwa scarcity mana sio yote hapo yatakuwa activeNa zimekabidhiView attachment 3081637wa leo
Na zimekab
Duh minne au mitanoIkidhihirika kuna scarcity y wataalmu miaka kama minne au mitano nyuma ilitokea. Waliotwa Twaliipo pale watu wa afya tu
Wanachukua six tuAtafute mbanga military science Bado ipo
Mambo yasiwe mengiNaona Mwamba kashikilia Desert MDR. Bunduki nyepesii ila mapigo yake sasa.....🙌🙌🙌🙌
View attachment 3081642
Ivi unaelewa ata maana ya military science ndugu labd tuanzie apo military science ni Fresh from school form six tu sasa huyo kamaliza degree tena apelekwe kusoma degree nyingne kwelii duuuhJirani yangu kamaliza koz mwezi wa 6 na alkua na degree
Anaunga ya miezi tisa, luteni usuIvi unaelewa ata maana ya military science ndugu labd tuanzie apo military science ni Fresh from school form six tu sasa huyo kamaliza degree tena apelekwe kusoma degree nyingne kwelii duuuh
LETE LONJA MKUU NAKUAMINIAMGULANI 96 NA WAPO NJIANI UELEKEO MSATA MDA HUU😎😎
Uyu jamaa mbishi 😂😂 muache kila kitu anajuaAnaunga ya miezi tisa, luteni usu
Tumbo joto mkuu wangu tunaskia tu wenzetu uelekeo MSATA c bado tupo benchi tuLETE LONJA MKUU NAKUAMINIA
MGULANI 96 NA WAPO NJIANI UELEKEO MSATA MDA HUU😎
Umepishana na chuma hizi mpya cndyNdio hawa nimepishana nao hapa kijazi
Huku mtaani hatujawaelewa huko makao Wana mpango gani na maafande wa huku mtaani..ila naskia kuanzia tarehe Moja mtaani inabidi waanze kupokea maelekezoTumbo joto mkuu wangu tunaskia tu wenzetu uelekeo MSATA c bado tupo benchi tu
EwaaaUmepishana na chuma hizi mpya cndy
Kwishaaaa hao wanaamkia kihangaiko keshoEwaaa
Umepishana na chuma hizi mpya cndy
Mapema sana uzalendoKwishaaaa hao wanaamkia kihangaiko kesho