Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mwenye bahati aliyepangiwa na Mungu kupata nafasi ya kujiunga na Jeshi atajiunga haijalishi una mbuyu au huna kikubwa Muombe sana Mungu wako lia nae kwa imani yako hakuna linaloshindikana kwake, na ukikosa nafasi mshukuru Mungu pia jua hajakupangia kwa wakati huu fanya mambo mengine jitunze utajaribu wakati mwingine.
 
Haya madogo yanalala lala tu kizembe mpaka now dadeqiii Kozi ikifunguliwa watajuta haiwezekan mi npo macho saa 10 hii yenyewe yamelala et yamechoka na safari nasemaje yatakubaliii within 6 weeks kuna watu watatema Bung'ooo maji yatazid unga
Kwani kwenye mafunzo watu hawalali!!!!?,
Minajua mnakimbia asubuhi baada ya apo minaingia kwenye kwata, sindio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…