Kwahyo mkuu wewe unatushaurije tusiokua na mbangaHuyo mwenye cheo kidogo atamuomba nan kufanikisha hilo jambo?
Mkoa X kuna staff sajent kila mwaka lzm apenyeze mtu JW nafasi zikitoka kwa sababu ni dereva wa Kanali hivyo basi huwa anamuomba Kanali amsaidie
Pia mkoa huo huo kuna captain Ana mdogo wake ameanza kumtafutia nafasi ya jeshi since 2019 kakosa amekupa kupata magereza mwaka jana
Anaenda kuongea na mzee mmoja kutoka Kyela uko ndugu yang yey hana uwezo wa kumpachika mtu ila anakarama ya kukubarika na wazee ata huyu Kanali anaongea nae vzr kuliko wewSawa huyo privet akitaka nafasi anaenda kuongea na Sajent au anaamua tu yeye kukupachika ?
Ulichokiandika hakina tofauti na nilichosemaKoplo
Sajenti
Diwani
Mtendaji
Wote wanaweza kulingana na ukaribu wao na wakuu (sasa hao wakuu ni kinani? HAO WAKUU ni
Kanal
Brigedia
Meja general
Luten general
General
Naskia mnaongia kozi tu mnapishana na iveco imeflot! Imejaa fimbo.. na zinapigwq kwa kuvululwa tu. Shingoni began mgongoni utajua weweHapan sio za tanesco Ila we jiandae kuziinua kwa filimbi😂 bega la kushoto kuamishia kulia mara kati upige skwat nayo😂😂 na bakora juu dadeqiiii
Yote maishaNaskia mnaongia kozi tu mnapishana na iveco imeflot! Imejaa fimbo.. na zinapigwq kwa kuvululwa tu. Shingoni began mgongoni utajua wewe
Mkuu tupe update kinachoendelea hukoAnaenda kuongea na mzee mmoja kutoka Kyela uko ndugu yang yey hana uwezo wa kumpachika mtu ila anakarama ya kukubarika na wazee ata huyu Kanali anaongea nae vzr kuliko wew
Nipo mkuu.Hata sina ronja mkuu wangu, mie mwenyewe mweupe tu kwenye haya mambo, halafu umepotea sana siku hizi
Swala la msingi sana coproBaba kanifosia tumeni link ya group letu la wasap tuyajenge
HIyo link Iko wapSwala la msingi sana copro
UNgekuwa apa Rtiesin mim ndo asbh nimewambia madogo wasafishe apa area A ukija tu tutaonana ndugu yang wa kitambo sanaMkuu Padone EPM nikizama hapo msata nitakutafuta ili uwe unakuja kombaniani kunipa tano mwanao wa jeifuuu.😂
Oohh pambanieni mtapata tu mkuu kikubwa uhaiNipo mkuu.
Tunahangaika tu na haya majeshi.
Njoo kwenye group la Whatsapp ndo kumewaka watu washapakimbia huku utabaki pekeako🤣🤣🤣Wakuu Lonja mpya basi leteni
bado kidogo tuu huko nako mtapoteana mtarudi tena kutaka lonjaNjoo kwenye group la Whatsapp ndo kumewaka watu washapakimbia huku utabaki pekeako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli Ronja zinatupa shida mi binafsi mapambano nimemalizabado kidogo tuu huko nako mtapoteana mtarudi tena kutaka lonja
madam oljoro iko wapi?Wewe unayejua tuambie ngerengere kuna kambi gani
Kenya..madam oljoro iko wapi?