Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Niamini Mimi nina vyanzo vya kuaminika huko
Binafsi nilitamani saana kuwa mwanakitenge
Pia nipo nampambania mdogo wake demu wangu aingie huko
Poa mkuu ✊✊ mdogo wake dem wako n wakiume au wakike,,, Kam wakike tupinge urafiki
 
Naona makomando wanapiga sit-ups zakutosha hapa Uhuru,mara wengine wamebeba magogo,wamesema hawataki wasomi huko.
 
Cha muhimu kwakijana kujua ni kwamba hakuna ajira jeshini na wala hakuna mshahara jeshin, na ndomana ata kweny matangazo tunasema nafasi ya (kuandikisha vijana) sio kuajiri vijana na hcho mnachosema ni mshahara hapan ile ni posho. Hvyo kama unalitaka jeshi kwaajili ya mshahara au likutajirishe sahau hilo swala. Ingia kwa moyo Wakutumikia nchi
 
Mimi nipo tayari kuitumikia Nchi yangu please nipe nafasi
 
Nchi yenyewe hii au?
 
Dah!! Acha tu mzee.


Bawasiri ilimrudisha mwanangu mtaani katika Bogi lililopita.

Jamaa alitumia kila dawa ili apone lakini ndio vile..

Inaumiza sana ukapata nafasi then ukarudi mtaani kisa unfit.
Anitafute inbox nampa dawa ndani ya siku 4 anapona bawasiri
 
Kwhyo bogi hili ni la watu 2500 net?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…