Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hahaha, naona mimbanga na mibuyu inafuana hapo mjengoni. Kimbembe mwaka huu si kidogo.. kwa hiyo na sisi baba kantuma tufanyeje mzee baba?Bado wananachambua barua (kama wapo serious vile)
Mpaka sasa Mbanga ya uhakika ni kuanzia major General
MI wamekaza watu wa maelekezo maalumu so ni habari njema
Lete lonja yako uliyo nayo wew sahizKumekuchaaaaaa!!! Uongooo umeanzaaa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Waja wa JF mtuachee bhanaa khaaaah
Upo vizurβ service kutoka mlundikwa walifika Jana huko USATANI
βWASAILI WALIFIKA JANA USIKU WA MANANE HAPO USATANI kutokea makao makuu
βusaili ilitakiwa uanze leo but imekuwa kimya
βwatu wa uraiani watachukuliwa wachache mno (kulikuwa na uwezekano watu wa uraiani wapigie orjolo lkn uwezekano ni mdogo)
βmpaka12 jioni service walikuwa 2500
βNamtafuta rafiki yangu Yaragwira mkuyumba tulipotezana mkoani njombe mwaka 2010 mwanga primary
Kabisa Mkuu ππππNi kama Mimi tu lkn shemeji yangu alinikatili but nashukuru kazi nayofanya nipo nao karibu hao wajeshi na wananitamani pia
Kabisa Mkuu ππππNi kama Mimi tu lkn shemeji yangu alinikatili but nashukuru kazi nayofanya nipo nao karibu hao wajeshi na wananitamani pia
Kihangaiko vijana wameaza usaili Leo jioni.wameaza na form sixTupeni update za jw
Mkuu iloreKihangaiko vijana wameaza usaili Leo jioni.wameaza na form six
Nilishawaeleza huko juu wakapuuzaMkuu ilore
Unaamin nin katika hawq walioko mtaani mana leo hi kuna watu wamekir kupigiwa sim
Kuwq wafanye kaz zingine ama? Kila nikiangalia sioniNilishawaeleza huko juu wakapuuza
Eeh! Hiyo ni kweli au,ko a engine tumeshakosa! DahMkuu ilore
Unaamin nin katika hawq walioko mtaani mana leo hi kuna watu wamekir kupigiwa sim
Nitacomfirm jioni ya leoEeh! Hiyo ni kweli au,ko a engine tumeshakosa! Dah
Ndo wanaingia msata tunawaona hivihivi?Waleeeeee
πππππ
Bado sm Wala sms azijaanza endelea Kula ποΈHumu kuna aliyetumiwa sms na kupigiwa simu kama mimi