Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Bado wananachambua barua (kama wapo serious vile)
Mpaka sasa Mbanga ya uhakika ni kuanzia major General
MI wamekaza watu wa maelekezo maalumu so ni habari njema
Hahaha, naona mimbanga na mibuyu inafuana hapo mjengoni. Kimbembe mwaka huu si kidogo.. kwa hiyo na sisi baba kantuma tufanyeje mzee baba?
 
Kumekuchaaaaaa!!! Uongooo umeanzaaa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Waja wa JF mtuachee bhanaa khaaaah
 
โ— service kutoka mlundikwa walifika Jana huko USATANI

โ—WASAILI WALIFIKA JANA USIKU WA MANANE HAPO USATANI kutokea makao makuu

โ—usaili ilitakiwa uanze leo but imekuwa kimya

โ—watu wa uraiani watachukuliwa wachache mno (kulikuwa na uwezekano watu wa uraiani wapigie orjolo lkn uwezekano ni mdogo)

โ—mpaka12 jioni service walikuwa 2500

โ—Namtafuta rafiki yangu Yaragwira mkuyumba tulipotezana mkoani njombe mwaka 2010 mwanga primary
Upo vizur
 
Back
Top Bottom