Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ewaaaah ubarikiwe sana kijana wangu. Nimekutumia hela ya bia hapo angalia kwenye namba yako ya voda
 
Kwa hiyo tuongeze msosi na mazoezi huku mitaani
 
Fabrizio romano wa JF, tupo pamoja mkubwa..
 
Wakuu ko twendelee kuwa na matumain au ndo bas tena,,mana kuna wadau Si mmesema kuwa watu wameshaenda msata,
 
Ko means wa uraiani itkuw mwishon au,,,then imekaaje hpo au mabog yatkuw tofait,,,coz hao wa Rts MSATA c wtaanza six week ,,,,,au wengne ndo itkuw ORJOLO,,,,,,,
 
Ko means wa uraiani itkuw mwishon au,,,then imekaaje hpo au mabog yatkuw tofait,,,coz hao wa Rts MSATA c wtaanza six week ,,,,,au wengne ndo itkuw ORJOLO,,,,,,,
 
Endeleeni kula mtori nyama nyingi zipo chini za kutosha andaeni vichokonoleo kama hamna mimi ninacho nitawachokonoa mmoja baada ya mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…