Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Ewaaaah ubarikiwe sana kijana wangu. Nimekutumia hela ya bia hapo angalia kwenye namba yako ya vodaJana jioooooni walianza kuhakiki vyeti vya form six
Leo form six wamepiga medical
Leo pia form four na darasa la 7 wameanza kuhakikiwa vyeti
Usaili wote inatakiwa uwe chini ya wiki tatu
Watu wa mtaani mtaendelea kusubiri kidogo ili hawa walipo uko ili wakipungua wengi nyie wa kitaa mjaze nafasi (the way wakavyofeli hawa ndio idadi ya watu wa mtaani itakavyoongezeka
Jana usiku wote wamepokonywa simu
MPAKA LEO WALE WA SIMU ILIKUWA BILABILA
Nashukuru saanaEwaaaah ubarikiwe sana kijana wangu. Nimekutumia hela ya bia hapo angalia kwenye namba yako ya voda
Kuna uwezekano wiki hii ikaisha bilabila piaHumu kuna aliyetumiwa sms na kupigiwa simu kama mimi
Kwa hiyo tuongeze msosi na mazoezi huku mitaaniKama nilivyosema kozi hii ni tofauti kidogo
Kozi hii itajikita zaidi katika matumizi ya silaha ITAKUWA NI NGUMU SAANA KWA SABABU ITAHUSISHA ZANA NZITO ZA KVITA NARUDIA TENA KOZI HII NI NZITO HASWA
HAKUNA MBANGA YENYE UHAKIKA WA KUPENYEZA MTU ASIYE NA SIFA MPAKA SASA (Jana nilisema Mbanga ya uhakika ni kuanzia major General)
Ili upitishiwe mtu wako ni lazima kwanza awe na sifa tajwa
Kama hauna sifa kaa pembeni tu
Fabrizio romano wa JF, tupo pamoja mkubwa..Kama nilivyosema kozi hii ni tofauti kidogo
Kozi hii itajikita zaidi katika matumizi ya silaha ITAKUWA NI NGUMU SAANA KWA SABABU ITAHUSISHA ZANA NZITO ZA KVITA NARUDIA TENA KOZI HII NI NZITO HASWA
HAKUNA MBANGA YENYE UHAKIKA WA KUPENYEZA MTU ASIYE NA SIFA MPAKA SASA (Jana nilisema Mbanga ya uhakika ni kuanzia major General)
Ili upitishiwe mtu wako ni lazima kwanza awe na sifa tajwa
Kama hauna sifa kaa pembeni tu
Mitaani bado n hata iweje, kila mwaka watu wa mtaan lazima waingie humoWakuu ko twendelee kuwa na matumain au ndo bas tena,,mana kuna wadau Si mmesema kuwa watu wameshaenda msata,
Au sio? Na leo umeamka naoWaleeeeee
ππππ
Wacha maneno ya vijiweni toa habar zenye uhakika..Wameshajaa mtaani hawachukui tena.
Mliopo mtaani endeleeni na majukumu mengine ya kujenga Taifa..
ahahah unamaanisha nn?Mpaka sasa lonja zimekuwa nyingi sana, kila mtu akioteshwa jambo analigeuza kuwa lonja hata kama sio mtume.
Vijana majobles, wazalendo tumechoka dhihaka na kunung'unika kila saa leteni sentensi moja kuhusu bogi la watoka mitaani.
Kopi moja kwa
Mwachiluwi Mwizukulu mgikuru Bachelor ll