Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Jana jioooooni walianza kuhakiki vyeti vya form six

Leo form six wamepiga medical

Leo pia form four na darasa la 7 wameanza kuhakikiwa vyeti

Usaili wote inatakiwa uwe chini ya wiki tatu

Watu wa mtaani mtaendelea kusubiri kidogo ili hawa walipo uko ili wakipungua wengi nyie wa kitaa mjaze nafasi (the way wakavyofeli hawa ndio idadi ya watu wa mtaani itakavyoongezeka

Jana usiku wote wamepokonywa simu

MPAKA LEO WALE WA SIMU ILIKUWA BILABILA
Ewaaaah ubarikiwe sana kijana wangu. Nimekutumia hela ya bia hapo angalia kwenye namba yako ya voda
 
Kama nilivyosema kozi hii ni tofauti kidogo

Kozi hii itajikita zaidi katika matumizi ya silaha ITAKUWA NI NGUMU SAANA KWA SABABU ITAHUSISHA ZANA NZITO ZA KVITA NARUDIA TENA KOZI HII NI NZITO HASWA

HAKUNA MBANGA YENYE UHAKIKA WA KUPENYEZA MTU ASIYE NA SIFA MPAKA SASA (Jana nilisema Mbanga ya uhakika ni kuanzia major General)

Ili upitishiwe mtu wako ni lazima kwanza awe na sifa tajwa
Kama hauna sifa kaa pembeni tu
Kwa hiyo tuongeze msosi na mazoezi huku mitaani
 
Kama nilivyosema kozi hii ni tofauti kidogo

Kozi hii itajikita zaidi katika matumizi ya silaha ITAKUWA NI NGUMU SAANA KWA SABABU ITAHUSISHA ZANA NZITO ZA KVITA NARUDIA TENA KOZI HII NI NZITO HASWA

HAKUNA MBANGA YENYE UHAKIKA WA KUPENYEZA MTU ASIYE NA SIFA MPAKA SASA (Jana nilisema Mbanga ya uhakika ni kuanzia major General)

Ili upitishiwe mtu wako ni lazima kwanza awe na sifa tajwa
Kama hauna sifa kaa pembeni tu
Fabrizio romano wa JF, tupo pamoja mkubwa..
 
Wakuu ko twendelee kuwa na matumain au ndo bas tena,,mana kuna wadau Si mmesema kuwa watu wameshaenda msata,
 
Ko means wa uraiani itkuw mwishon au,,,then imekaaje hpo au mabog yatkuw tofait,,,coz hao wa Rts MSATA c wtaanza six week ,,,,,au wengne ndo itkuw ORJOLO,,,,,,,
 
Ko means wa uraiani itkuw mwishon au,,,then imekaaje hpo au mabog yatkuw tofait,,,coz hao wa Rts MSATA c wtaanza six week ,,,,,au wengne ndo itkuw ORJOLO,,,,,,,
 
Endeleeni kula mtori nyama nyingi zipo chini za kutosha andaeni vichokonoleo kama hamna mimi ninacho nitawachokonoa mmoja baada ya mwingine
 
Back
Top Bottom