Uko msata au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lete lonja yako uliyo nayo wew sahiz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wako msataaa,Uzi umepoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbanga niliyokuwa naitegemea inasaidie kupenyeza mtu huko Jw Leo imeniona ikaanza kulia [emoji41]
Amna nataka ni mpeleke na dogo na yeye akajile kwanza mm mujibu tyu kupita hyo Ina tosha na chet ninacho nirud tena kujitolea ya niniHivi JKT wamesha tangaza nafasi za kuandikishwa wa kujitolea
Amna nataka ni mpeleke na dogo na yeye akajile kwanza mm mujibu tyu kupita hyo Ina tosha na chet ninacho nirud tena kujitolea ya niniUnataka kujila jkt sio kigezo cha kupata ajila, labda kama una lengo lingine
kimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani.. mkuu hapo hatuja kuelewa kabisa!!!!Mwenye lonja nimekuja,mbuyu wangu leo ulikua kihangaiko ukanipa taarifa zifuatazo 1.Kama unajijua ulimlza four chin ya 2019 lazima uwe na affidavity ya jina,yaan kwamba walomalza chini ya 2019 katk vyeti vyao vya kidato Cha nne kimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani 2.Namnukuu "huku bhana watu 350 inabidi watolewe kwa vipengele mbalimabli" Nukuu ya pili " Yaan sas hiv kila sehemu wamebana Kuna baadhi ya watoto wa wakubwa hawajasomwa yaan" Nukuu ya 3 " sa hivi janja janja hamna watu wanalia tu huku usaili mgumu wanarudishwa*
Yaan ww si RASHID JUMA HASSAN,lakn chet kmeandkwa RASHID J HASSAN,kwaivo inabid ukaape kwamba J ni JUMA na ni jina lako halalikimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani.. mkuu hapo hatuja kuelewa kabisa!!!!
Halafu na hyo watu 350 kutolewa kwa vipengele una maanisha yaan huko kihangaiko kwamba watu 350 wanatakiwa wa temwe au?Mwenye lonja nimekuja,mbuyu wangu leo ulikua kihangaiko ukanipa taarifa zifuatazo 1.Kama unajijua ulimlza four chin ya 2019 lazima uwe na affidavity ya jina,yaan kwamba walomalza chini ya 2019 katk vyeti vyao vya kidato Cha nne kimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani 2.Namnukuu "huku bhana watu 350 inabidi watolewe kwa vipengele mbalimabli" Nukuu ya pili " Yaan sas hiv kila sehemu wamebana Kuna baadhi ya watoto wa wakubwa hawajasomwa yaan" Nukuu ya 3 " sa hivi janja janja hamna watu wanalia tu huku usaili mgumu wanarudishwa*
Eeh chief,noma mzee.Halafu na hyo watu 350 kutolewa kwa vipengele una maanisha yaan huko kihangaiko kwamba watu 350 wanatakiwa wa temwe au?
Anh apo nimekupata mkuu kumbe hyo ex ni example hyo ex mm ndo ili nichanganyaYaan ww si RASHID JUMA HASSAN,lakn chet kmeandkwa RASHID J HASSAN,kwaivo inabid ukaape kwamba J ni JUMA na ni jina lako halali
Duh mbona hyo ni zaidi ya nouma mkuu duh!! Duh!! Duh!!Eeh chief,noma mzee.
Duh mbona hyo ni zaidi ya nouma mkuu duh!! Duh!! Duh!!
Mibanga ya zanzbar bado au?Mwenye lonja nimekuja,mbuyu wangu leo ulikua kihangaiko ukanipa taarifa zifuatazo 1.Kama unajijua ulimlza four chin ya 2019 lazima uwe na affidavity ya jina,yaan kwamba walomalza chini ya 2019 katk vyeti vyao vya kidato Cha nne kimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani 2.Namnukuu "huku bhana watu 350 inabidi watolewe kwa vipengele mbalimabli" Nukuu ya pili " Yaan sas hiv kila sehemu wamebana Kuna baadhi ya watoto wa wakubwa hawajasomwa yaan" Nukuu ya 3 " sa hivi janja janja hamna watu wanalia tu huku usaili mgumu wanarudishwa*
Ngoja waje Kaka watu wanalia msata hukoMibanga ya zanzbar bado au?
Kwq hiyo hadi watoto wa mbanga wametemwa hadharani?Ngoja waje Kaka watu wanalia msata huko
Kaka wameanza kutemwa tangu katika kufoleni makambini,inasemkana this time around wanahtjika askari weng wakiume,Kuna dem alkua ruvu mshua wake ni kanali na alitemwaKwq hiyo hadi watoto wa mbanga wametemwa hadharani?
Kwahyo Sasa wale wa mtaan ndo tusahau auKaka wameanza kutemwa tangu katika kufoleni makambini,inasemkana this time around wanahtjika askari weng wakiume,Kuna dem alkua ruvu mshua wake ni kanali na alitemwa