Unauliza majibu????KWAHIO AMBAO HATUJAPIGIWA SIMU SHUHURI YETU IMEISHIA APA
Zamani zilikuwa kazi za watoto wa kimaskini na wale ambao maisha kwao ya uongo, ila saizi ni Dili mmke ππHaya tusubiri uhamiaji wakuu.
Ambae anaweza kuchoma chips, kuku, nduzi na mishikaki aje tufungue Goli DSM me nitachangia 2M, yeye pia kama anakitu tuunganishe nguvu tupige kazi.
Ni pm kama upo tayari, ajira zishakuwa ngumu, Zamani hizi kazi zilikuwa zinatukanwa ila siku hizi watu wanahonga vibunda wazipate hii ni ishara kuwa maisha yanazidi kutight.
Yeah.Zamani zilikuwa kazi za watoto wa kimaskini na wale ambao maisha kwao ya uongo, ila saizi ni Dili mmke ππ
Haya tusubiri uhamiaji wakuu.
Ambae anaweza kuchoma chips, kuku, nduzi na mishikaki aje tufungue Goli DSM me nitachangia 2M, yeye pia kama anakitu tuunganishe nguvu tupige kazi.
Ni pm kama upo tayari, ajira zishakuwa ngumu, Zamani hizi kazi zilikuwa zinatukanwa ila siku hizi watu wanahonga vibunda wazipate hii ni ishara kuwa maisha yanazidi kutight.
Lini??UHAMIAJI SOON
wekeni makadilio kabisaUHAMIAJI SOON
Mwaka jana walitangaza december hope mwaka huu pia itakuwa december january watu wanafanya usaili march watu wanaenda kozi.wekeni makadilio kabisa
Unatafunwa na wanga πAsa kaka c ukaimbe taarabu tu , mbona kama una kipaji ivi π€
Ukweli unauma sana wazee..Ukikua utaacha!!
Oi soon ntawap ronja ya oljoro
[/QUSawa mkuuOi soon ntawap ronja ya oljoro
Sawa mkuuSawa
Funguka kamanda Bachelor llWatu wa mtaani ............
Tupe madini kamandaWatu wa mtaani ............