Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.

NB: Depo ya kihangaiko ya mvua ni balaa wazee. Jiandaeni kisaikolojia. Sijawahi kupiga hiyo, ila atleast kwa mazingira flani nimewahi kuona.
Unataka kuwa Nyundo
 
Wakati mwingine huu uzi tujadili mambo ya msingi tu maswala ya ronja yalishakwisha kama unajijua ujaenda kumbuka mwaka huu umeshapita subiri mwaka ujao msidanganyane ooooh kuna Oljoro.. sijui nini
 
Haya wazee tuanze kuambizana baadhi ya fursa za mitaji midogo midogo.
 
Back
Top Bottom