Mik Jr
Member
- Sep 7, 2024
- 89
- 79
Ko wale WA mtaani ngoja nagwaaKozi bado Leo walikuwa wanahakikiwa finger print kwenye fomu za ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko wale WA mtaani ngoja nagwaaKozi bado Leo walikuwa wanahakikiwa finger print kwenye fomu za ajira
Kwamba hii intake haina unfit kiongozi?Mwenyezi Mungu akipenda kozi msata Kama hakutatokea chochote itaaza tar.28 mwezi huu.vijana wote wameshajaza fomu yaajira.
Unfit wanatoka wapi? Hao vijana kwaza walipimwa toka wakiwa vikosini mnapenda wawe munfit eti imetoka hio mzeeKwamba hii intake haina unfit kiongozi?
Imekua ghafla sana kiongoZ😂😂Unfit wanatoka wapi? Hao vijana kwaza walipimwa toka wakiwa vikosini mnapenda wawe munfit eti imetoka hio mzee
Sawa tutaona. 😃Unfit wanatoka wapi? Hao vijana kwaza walipimwa toka wakiwa vikosini mnapenda wawe munfit eti imetoka hio mzee
Ndugu yangu, mbona uku msata hatuna taarifa hizo wewe umezitoa wapi?Mwenyezi Mungu akipenda kozi msata Kama hakutatokea chochote itaaza tar.28 mwezi huu.vijana wote wameshajaza fomu yaajira.
Aiseeee kijana unatumia kilevi gani??Mwenyezi Mungu akipenda kozi msata Kama hakutatokea chochote itaaza tar.28 mwezi huu.vijana wote wameshajaza fomu yaajira.
Kijana anatafuta attention kwa nguvu kwamba vipimo amewafanyia yeye itakua hivyo au mawazo yake wata bypass¿Ndugu yangu, mbona uku msata hatuna taarifa hizo wewe umezitoa wapi?
Usisimulie usichokishuhudia ona sasa unavyo bwabwaja kama una kiazi Cha moto mdomoni,,,,,, unfit hawajasomwa sababu wote usahili wa vipimo haujakamilika na unapoambiwa usahili unaendelea sio huo tu ikiingia pale unahakikia details zako kwanza sasa ndugu yetu kiongozi unawapa vijana moto kweli.Unfit wanatoka wapi? Hao vijana kwaza walipimwa toka wakiwa vikosini mnapenda wawe munfit eti imetoka hio mzee
Piga kofi la macho aamke maana anausingizi huyo,,, hakuna kozi mwezi wa 10Afyaaaa badoooo
Unawaambia kozi inaanza na bado unauliza yaliyojiri?Yaliyojiri kihangaiko?
Ko naomba kuuliza sis WA mtaani ndo shughuli imekwish au tuendeleaa na kuomb munguUnawaambia kozi inaana na bado unauliza yaliyojiri?
Haupo serious
OkAiseeee kijana unatumia kilevi gani??
Mwanzo ulidai kozi ni tarehe 17 nikakukanusha saivi unakuja na nyingine ya tarehe 28 huu ufuska unautoa wapi¿¿¿
Ni lini nilikuambia tarehe 17?Aiseeee kijana unatumia kilevi gani??
Mwanzo ulidai kozi ni tarehe 17 nikakukanusha saivi unakuja na nyingine ya tarehe 28 huu ufuska unautoa wapi¿¿¿
Ni lini nilikuambia tarehe 17?Aiseeee kijana unatumia kilevi gani??
Mwanzo ulidai kozi ni tarehe 17 nikakukanusha saivi unakuja na nyingine ya tarehe 28 huu ufuska unautoa wapi¿¿¿
Samahani sio wewe ni ndugu Zafrain sag na Mijadala Migumu na haikua tarehe 17 walisema kozi tarehe 7 mwez wa 10 ila mpaka Sasa hapo ndani ni bilabila...Ni lini nilikuambia tarehe 17?