Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Haya tusubiri uhamiaji wakuu.

Ambae anaweza kuchoma chips, kuku, nduzi na mishikaki aje tufungue Goli DSM me nitachangia 2M, yeye pia kama anakitu tuunganishe nguvu tupige kazi.

Ni pm kama upo tayari, ajira zishakuwa ngumu, Zamani hizi kazi zilikuwa zinatukanwa ila siku hizi watu wanahonga vibunda wazipate hii ni ishara kuwa maisha yanazidi kutight.
 
Haya tusubiri uhamiaji wakuu.

Ambae anaweza kuchoma chips, kuku, nduzi na mishikaki aje tufungue Goli DSM me nitachangia 2M, yeye pia kama anakitu tuunganishe nguvu tupige kazi.

Ni pm kama upo tayari, ajira zishakuwa ngumu, Zamani hizi kazi zilikuwa zinatukanwa ila siku hizi watu wanahonga vibunda wazipate hii ni ishara kuwa maisha yanazidi kutight.
Zamani zilikuwa kazi za watoto wa kimaskini na wale ambao maisha kwao ya uongo, ila saizi ni Dili mmke 😁😁
 
migration lini zinatoka
Haya tusubiri uhamiaji wakuu.

Ambae anaweza kuchoma chips, kuku, nduzi na mishikaki aje tufungue Goli DSM me nitachangia 2M, yeye pia kama anakitu tuunganishe nguvu tupige kazi.

Ni pm kama upo tayari, ajira zishakuwa ngumu, Zamani hizi kazi zilikuwa zinatukanwa ila siku hizi watu wanahonga vibunda wazipate hii ni ishara kuwa maisha yanazidi kutight.
 
Back
Top Bottom