Unataka kuwa NyundoWazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.
NB: Depo ya kihangaiko ya mvua ni balaa wazee. Jiandaeni kisaikolojia. Sijawahi kupiga hiyo, ila atleast kwa mazingira flani nimewahi kuona.
hizi taarifa mnazitoaga wapiπBADO NAMBA KUBWA YA ASKARI INAHITAJIKA, NA THIS MONTH TAR 19 SAFARI YA ORJORO ITAANZA TAKE NOTE
Trh 1 had 10 kwa taarifa nilizopataUnataka kuwa Nyundo
Extra pressure tu hiziBADO NAMBA KUBWA YA ASKARI INAHITAJIKA, NA THIS MONTH TAR 19 SAFARI YA ORJORO ITAANZA TAKE NOTE
Lonja ya kweli kama unajijua umefaulu form 6 , jeshini hawakutaki Kuna mwana alikua na
Sasa mfano hujaweka chet cha form 6 inakuaje????Lonja ya kweli kama unajijua umefaulu form 6 , jeshini hawakutaki Kuna mwana alikua na mbanga maji marefu karudi apa kaambiwa akasome .
Acha kutisha watuLonja ya kweli kama unajijua umefaulu form 6 , jeshini hawakutaki Kuna mwana alikua na mbanga maji marefu karudi apa kaambiwa akasome .
Vijana hawataki kukubaliana na ukweliWakati mwingine huu uzi tujadili mambo ya msingi tu maswala ya ronja yalishakwisha kama unajijua ujaenda kumbuka mwaka huu umeshapita subiri mwaka ujao msidanganyane ooooh kuna Oljoro.. sijui nini
Endelea kubisha mpaka wanaapaAcha kutisha watu
Shughuri ishaisha watu wasubiri mwakan mambo ya form six izo ni blanda zako umeunda shughuli ilishaisha muda sana hiiEndelea kubisha mpaka wanaapa
Nyama choma mkuuHaya wazee tuanze kuambizana baadhi ya fursa za mitaji midogo midogo.
Israel ....ππΆπΎββοΈπΆπΎββοΈπΆπΎββοΈIsraeli hawataki wanajeshi
Tukakiwashe huko wanangu