Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maaan ya nukta kuwa sentensi imefikia mwisho ko jambo kwisha.Sasa izo nukta za nn, si uongee tu mkuu Bachelor ll 😂😂
Wanaweza kuja mwez WA kumi na mbiliiWakubwa uhamiaji wamehtmu Leo wanakuja Tena ln kuchukua watu
Wanangu wa Orjoro andaeni mwili muda umewadia
Mungu akutangulie.Wanangu wa Orjoro andaeni mwili muda umewadia
November to remember.Taaamaa tushakata
Sio kweliii usaili ndio unaishia kilichobaki watareplace wale wa unfit wachache ili wafunge usaili. Kozi inafanyika kihangaiko tu hakuna orjolo na orjolo itapigwa kozi kwa wale wa form six baada ya kukamilisha kozi ya msata miezi 6Wanangu wa Orjoro andaeni mwili muda umewadia
uko sahihi ila orjoro inakuaga ni wale form 6 science ambapo wanapata kozi ya miezi 6 awali kama ya kihangaiko kwahiyo wao hawaendi huko rtsSio kweliii usaili ndio unaishia kilichobaki watareplace wale wa unfit wachache ili wafunge usaili. Kozi inafanyika kihangaiko tu hakuna orjolo na orjolo itapigwa kozi kwa wale wa form six baada ya kukamilisha kozi ya msata miezi 6
ivi wale madogo wa form six washachukuliwa??Sio kweliii usaili ndio unaishia kilichobaki watareplace wale wa unfit wachache ili wafunge usaili. Kozi inafanyika kihangaiko tu hakuna orjolo na orjolo itapigwa kozi kwa wale wa form six baada ya kukamilisha kozi ya msata miezi 6
sijajua maana huwa Wanachukuliwa mujibu hawa ambao ndo walimaliza mujibu mwezi wa tisa mwaka huu najua kozi yao inaishaga mwezi wa 7 military science alafu ndo wanaenda TMA, na kama kozi ni miezi 6 itakua labda wanaanza januari hapo naongea kwa kufikiri tu ila sijui chochoteivi wale madogo wa form six washachukuliwa??
Tupo ila usitusnepoVijana mpo
Tupe lonja mkuu iloreVijana mpo
Swala la usaili limeisha vijana wamesomewa leo.vijana waliotokea mtaani walioingia msata ni 201 na 181 ni wale vijana waliokuwa wamemaliza mikataba yao wakarudi home 20 ni pure from kitaa kozi itaaza tarehe 28 au tar.4. vijana Kama mna watu nasikia narudia Tena nasikia Kuna usaili wa vijana wengine wachache utafanyika lugalo.Tupe lonja mkuu ilore
Si ulisema hakuna unfit mzee? 😃Swala la usaili limeisha vijana wamesomewa leo.vijana waliotokea mtaani walioingia msata ni 201 na 181 ni wale vijana waliokuwa wamemaliza mikataba yao wakarudi home 20 ni pure from kitaa kozi itaaza tarehe 28 au tar.4. vijana Kama mna watu nasikia narudia Tena nasikia Kuna usaili wa vijana wengine wachache utafanyika lugalo.