Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Lipo lini ilo bogi..
 
Huyo mmbanga anakuuza alishindwa nn kukusaidia kwa bogi lililopo msata muda anakupotezea muda huyo
 
Ivii OP Mabeyo waliobaki vikosinii...mkataba ushasitishwaa Auu Badoo!?kwa Anaejua
Mikataba huisha kipindi kozi ilipofunguliwa ko kila kambi huwa wanakatisha mikataba siku tofauti ila kwa upande wa kambi za kaskazini (Arusha) mwezi huu mzigo unakataa

Hiki kitu kinauma vibaya sana.
 
Mikataba huisha kipindi kozi ilipofunguliwa ko kila kambi huwa wanakatisha mikataba siku tofauti ila kwa upande wa kambi za kaskazini (Arusha) mwezi huu mzigo unakataa

Hiki kitu kinauma vibaya sana.
Aiseee inauma sanaa hioo....Asante kwa kunijuza hilo,,,Vijana wengi wa OP MABEYO walisubiri kuvaa kitenge baadhi yao waliskip hadi usaili wa PT.Daaah sema MUNGU Asaidie kila mtu Ashinde kwa wakati wake🙏
 
Aiseee inauma sanaa hioo....Asante kwa kunijuza hilo,,,Vijana wengi wa OP MABEYO walisubiri kuvaa kitenge baadhi yao waliskip hadi usaili wa PT.Daaah sema MUNGU Asaidie kila mtu Ashinde kwa wakati wake🙏
Ukiwa JKT usichague jeshi hii ita ku cost haijalishi una mbangaaaa yupi hili ni tatizo linawakuta wengi na ukitoka mule ndani kupata nafasi ni cheche.
 
Take it

Wakijitolea orjolo op miaka 60 ya muungano wanaondolewa kupisha kozi ya jwtz narudia tena lolote linaweza kutokea msikalili siku wala week jeshi as where mda wowote ndio maana mnaona kama mibanga yenu waongo ila sio waongo jeshi halina utaratibu maalumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…