Insider Boy
Senior Member
- Aug 5, 2015
- 189
- 309
Asante kwa taarifa Mkuu... Muulize uwezekano kuitwa ni mwaka huu au mwakaniLabda mbanga inidanganye lakini icho ndicho ninachokijua wakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa taarifa Mkuu... Muulize uwezekano kuitwa ni mwaka huu au mwakaniLabda mbanga inidanganye lakini icho ndicho ninachokijua wakubwa
Lipo lini ilo bogi..Iko ivi kwa mujibu wa mbanga yangu. Now ipo jamhuri ya afrika ya kati kaondoka tarehe 16-11-2024 ni braza angu kabisa wa Damu ni afisa wa jeshi la ulinzi. Nanukuu "dogo me tutaendelea kuwasiliana lakini ishu ipo bogi lenu litakua oljoro mnachanganywa na wasomi ila hamtakua wengi nimeakikishiwa kabisa kasema hata wakiita 10 jina lako halikosi"" Jana nikachati nae WhatsApp kasema ni pagumu sio rahisi kwasababu nafasi za wasomi zote wamegawiwa wakubwa na yeye Kuna mkubwa ndio amejichomeka nae kwahio kwa nafasi zilizopo waomba Mungu tuendelee kulima Hakuna kupeana matumaini ila Kama una mbanga gonga yai kunywa maji mengi jiandae na coz. Mkitaka na visibitisho vya screenshot ntawatumia wakubwa SIWADANGANYI
Huyo mmbanga anakuuza alishindwa nn kukusaidia kwa bogi lililopo msata muda anakupotezea muda huyoIko ivi kwa mujibu wa mbanga yangu. Now ipo jamhuri ya afrika ya kati kaondoka tarehe 16-11-2024 ni braza angu kabisa wa Damu ni afisa wa jeshi la ulinzi. Nanukuu "dogo me tutaendelea kuwasiliana lakini ishu ipo bogi lenu litakua oljoro mnachanganywa na wasomi ila hamtakua wengi nimeakikishiwa kabisa kasema hata wakiita 10 jina lako halikosi"" Jana nikachati nae WhatsApp kasema ni pagumu sio rahisi kwasababu nafasi za wasomi zote wamegawiwa wakubwa na yeye Kuna mkubwa ndio amejichomeka nae kwahio kwa nafasi zilizopo waomba Mungu tuendelee kulima Hakuna kupeana matumaini ila Kama una mbanga gonga yai kunywa maji mengi jiandae na coz. Mkitaka na visibitisho vya screenshot ntawatumia wakubwa SIWADANGANYI
Tatizo watu awapendi ukweliHuyo mmbanga anakuuza alishindwa nn kukusaidia kwa bogi lililopo msata muda anakupotezea muda huyo
Ukweli ni upi?Tatizo watu awapendi ukweli
Mambo yameisha bogi linalokuja ni la BMS awa vijana wa science wa form six mwezi wa kwanza au wa piliUkweli ni upi?
Sawa.Mambo yameisha bogi linalokuja ni la BMS awa vijana wa science wa form six mwezi wa kwanza au wa pili
Baada ya apo kutangazwa ajila zingine mwakani.
Mikataba huisha kipindi kozi ilipofunguliwa ko kila kambi huwa wanakatisha mikataba siku tofauti ila kwa upande wa kambi za kaskazini (Arusha) mwezi huu mzigo unakataaIvii OP Mabeyo waliobaki vikosinii...mkataba ushasitishwaa Auu Badoo!?kwa Anaejua
Aiseee inauma sanaa hioo....Asante kwa kunijuza hilo,,,Vijana wengi wa OP MABEYO walisubiri kuvaa kitenge baadhi yao waliskip hadi usaili wa PT.Daaah sema MUNGU Asaidie kila mtu Ashinde kwa wakati wake🙏Mikataba huisha kipindi kozi ilipofunguliwa ko kila kambi huwa wanakatisha mikataba siku tofauti ila kwa upande wa kambi za kaskazini (Arusha) mwezi huu mzigo unakataa
Hiki kitu kinauma vibaya sana.
Ukiwa JKT usichague jeshi hii ita ku cost haijalishi una mbangaaaa yupi hili ni tatizo linawakuta wengi na ukitoka mule ndani kupata nafasi ni cheche.Aiseee inauma sanaa hioo....Asante kwa kunijuza hilo,,,Vijana wengi wa OP MABEYO walisubiri kuvaa kitenge baadhi yao waliskip hadi usaili wa PT.Daaah sema MUNGU Asaidie kila mtu Ashinde kwa wakati wake🙏
Wengii waoo ndo hua wanakumbwa na hilooo wanaanza kubaguaa majeshii aiseeeUkiwa JKT usichague jeshi hii ita ku cost haijalishi una mbangaaaa yupi hili ni tatizo linawakuta wengi na ukitoka mule ndani kupata nafasi ni cheche.
Mwisho wa siku vilio kuna kijana mmoja apo orjolo 833kj op mabeyo kapiga usaili wa polisi Kagoma kwenda kureport ccp limekuja la masela limemtema mwezi huu mkataba unaishi.Wengii waoo ndo hua wanakumbwa na hilooo wanaanza kubaguaa majeshii aiseee
Aiseee yaan unaanzaje kupakataa CCP aiseee.....yaan unabagua kaz kabla / huna uhakika wa hio nyinginee 🥲.Sema MUNGU atusaidiee tuuMwisho wa siku vilio kuna kijana mmoja apo orjolo 833kj op mabeyo kapiga usaili wa polisi Kagoma kwenda kureport ccp limekuja la masela limemtema mwezi huu mkataba unaishi.
Bora niwe sina kazi ila sio kwenda CCP moshi ile sio kazi ni .......Aiseee yaan unaanzaje kupakataa CCP aiseee.....yaan unabagua kaz kabla / huna uhakika wa hio nyinginee 🥲.Sema MUNGU atusaidiee tuu
Kama unajizungumziaa wewee ni Sawa....Sisi watoto wa mama Ntilie ile kwetu ni fresh tu tena Sana✊Bora niwe sina kazi ila sio kwenda CCP moshi ile sio kazi ni .......
Op mabeo wanamaliza mkataba tarehe 28 lakini wameongeza siku up tarehe 30Apa 822kj rwamkoma op mabeyo wanamalza mkataba trh 27/11
Op mabeo wanamaliza mkataba tarehe 28 lakini wameongeza siku up tarehe 30
INamana mpk trh 30/11 au!?Op mabeo wanamaliza mkataba tarehe 28 lakini wameongeza siku up tarehe 30