Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Iko ivi kwa mujibu wa mbanga yangu. Now ipo jamhuri ya afrika ya kati kaondoka tarehe 16-11-2024 ni braza angu kabisa wa Damu ni afisa wa jeshi la ulinzi. Nanukuu "dogo me tutaendelea kuwasiliana lakini ishu ipo bogi lenu litakua oljoro mnachanganywa na wasomi ila hamtakua wengi nimeakikishiwa kabisa kasema hata wakiita 10 jina lako halikosi"" Jana nikachati nae WhatsApp kasema ni pagumu sio rahisi kwasababu nafasi za wasomi zote wamegawiwa wakubwa na yeye Kuna mkubwa ndio amejichomeka nae kwahio kwa nafasi zilizopo waomba Mungu tuendelee kulima Hakuna kupeana matumaini ila Kama una mbanga gonga yai kunywa maji mengi jiandae na coz. Mkitaka na visibitisho vya screenshot ntawatumia wakubwa SIWADANGANYI
Lipo lini ilo bogi..
 
Iko ivi kwa mujibu wa mbanga yangu. Now ipo jamhuri ya afrika ya kati kaondoka tarehe 16-11-2024 ni braza angu kabisa wa Damu ni afisa wa jeshi la ulinzi. Nanukuu "dogo me tutaendelea kuwasiliana lakini ishu ipo bogi lenu litakua oljoro mnachanganywa na wasomi ila hamtakua wengi nimeakikishiwa kabisa kasema hata wakiita 10 jina lako halikosi"" Jana nikachati nae WhatsApp kasema ni pagumu sio rahisi kwasababu nafasi za wasomi zote wamegawiwa wakubwa na yeye Kuna mkubwa ndio amejichomeka nae kwahio kwa nafasi zilizopo waomba Mungu tuendelee kulima Hakuna kupeana matumaini ila Kama una mbanga gonga yai kunywa maji mengi jiandae na coz. Mkitaka na visibitisho vya screenshot ntawatumia wakubwa SIWADANGANYI
Huyo mmbanga anakuuza alishindwa nn kukusaidia kwa bogi lililopo msata muda anakupotezea muda huyo
 
Ivii OP Mabeyo waliobaki vikosinii...mkataba ushasitishwaa Auu Badoo!?kwa Anaejua
Mikataba huisha kipindi kozi ilipofunguliwa ko kila kambi huwa wanakatisha mikataba siku tofauti ila kwa upande wa kambi za kaskazini (Arusha) mwezi huu mzigo unakataa

Hiki kitu kinauma vibaya sana.
 
Mikataba huisha kipindi kozi ilipofunguliwa ko kila kambi huwa wanakatisha mikataba siku tofauti ila kwa upande wa kambi za kaskazini (Arusha) mwezi huu mzigo unakataa

Hiki kitu kinauma vibaya sana.
Aiseee inauma sanaa hioo....Asante kwa kunijuza hilo,,,Vijana wengi wa OP MABEYO walisubiri kuvaa kitenge baadhi yao waliskip hadi usaili wa PT.Daaah sema MUNGU Asaidie kila mtu Ashinde kwa wakati wake🙏
 
Aiseee inauma sanaa hioo....Asante kwa kunijuza hilo,,,Vijana wengi wa OP MABEYO walisubiri kuvaa kitenge baadhi yao waliskip hadi usaili wa PT.Daaah sema MUNGU Asaidie kila mtu Ashinde kwa wakati wake🙏
Ukiwa JKT usichague jeshi hii ita ku cost haijalishi una mbangaaaa yupi hili ni tatizo linawakuta wengi na ukitoka mule ndani kupata nafasi ni cheche.
 
Take it

Wakijitolea orjolo op miaka 60 ya muungano wanaondolewa kupisha kozi ya jwtz narudia tena lolote linaweza kutokea msikalili siku wala week jeshi as where mda wowote ndio maana mnaona kama mibanga yenu waongo ila sio waongo jeshi halina utaratibu maalumu
 
Back
Top Bottom