Watafutaji wapo site huko wanapambana,nyie munaosubilia jeshi munasubiri kazi ya kula Bure tu kwa Hela za wanaume wenzenuHabar zenu watafutaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watafutaji wapo site huko wanapambana,nyie munaosubilia jeshi munasubiri kazi ya kula Bure tu kwa Hela za wanaume wenzenuHabar zenu watafutaji
Sawa mkuuWatafutaji wapo site huko wanapambana,nyie munaosubilia jeshi munasubiri kazi ya kula Bure tu kwa Hela za wanaume wenzenu
Yaah upo sahihi kaka✅Walioenda msata bogi alifiki watu elfu3 na wengne kozi ilipoanza naskia washakimbia na wengne washavunja mikataba na wengne wapo hoii wamepelekwa lugalo…..wale waliorudishwa kutoka msata ambao inasemekana ni unfit kitu kama 400 kasoro wengi walipelekwa ruvu jkt but watu kama100 baadae walipigiwa simu na wakarudi msata kuanza kozi.
From Mtipidiii mpaka uhamiaji 🤣🤣 kazi ipoWakuu mwenye lonja ya uhamiaji wanakuja lini naomba anijuze
Sasa kinachokuchekesha nn mkuu….au kuulizia uhamiaji ni dhambi 😃From Mtipidiii mpaka uhamiaji 🤣🤣 kazi ipo
😀😀😀😀Wakuu mwenye lonja ya uhamiaji wanakuja lini naomba anijuze
😀😀😀😀
Uhamiaji bado kaka watatoa taarifaSasa kinachokuchekesha nn mkuu….au kuulizia uhamiaji ni dhambi 😃
Kwa Ronja niliyonayo uhamiaji ni mwezi wa 12 kabla sikukuu hazijaanza watakua washatoa tangazo, Usaili hadi kufika mwezi wa pili utakua ushakamilika watu wanaingia MKINGA kupiga kozi mwaka mmoja Kama kawaida WAKUBWA. bila kuwavunjia heshima habari zenu 👋Wakuu mwenye lonja ya uhamiaji wanakuja lini naomba anijuze
Wakuu mwenye lonja ya uhamiaji wanakuja lini naomba anijuze
Anhaa kumbe ni kama kawaida mwezi wa12….nilijua labda safari hii watachelewa…shukrani mkuu✊Kwa Ronja niliyonayo uhamiaji ni mwezi wa 12 kabla sikukuu hazijaanza watakua washatoa tangazo, Usaili hadi kufika mwezi wa pili utakua ushakamilika watu wanaingia MKINGA kupiga kozi mwaka mmoja Kama kawaida WAKUBWA. bila kuwavunjia heshima habari zenu 👋
Uhamiaji bado kaka watatoa taarifa
Yes hata ikitokea tofauti sio ya margin kubwa might be one monthAnhaa kumbe ni kama kawaida mwezi wa12….nilijua labda safari hii watachelewa…shukrani mkuu✊
Hukoo hata sijawahi itwa usaili aisee....panahitaji mbanga ya uhakikaa 🤔Kwa Ronja niliyonayo uhamiaji ni mwezi wa 12 kabla sikukuu hazijaanza watakua washatoa tangazo, Usaili hadi kufika mwezi wa pili utakua ushakamilika watu wanaingia MKINGA kupiga kozi mwaka mmoja Kama kawaida WAKUBWA. bila kuwavunjia heshima habari zenu 👋
Hukoo hata sijawahi itwa usaili aisee....panahitaji mbanga ya uhakikaa 🤔
Kooo kila SEHEMU ni kuwa na mibuyu....kweli majeshi si KIPAIMARA🤣🤣Inahitajika mbanga ya uhakika haswaaa….tena ukiona umetoboa mpaka ukaingia pale Raphael kubaga Tanga kweny mafunzo na ukaapa kabisa basi iyo mbanga kamwe usiisahau kweny maisha yako maana atakua amefanya kazi kubwa sana mpaka ww kupata iyo kazi coz competition ni kubwa na nafas ni chache mnoo
Sikuiz kweny haya majeshi bila kupata wa kukushika mkono kutoboa ni ngumu mkuuKooo kila SEHEMU ni kuwa na mibuyu....kweli majeshi si KIPAIMARA🤣🤣