usaili umeshaanza huko ruvu?Sikuiz kweny haya majeshi bila kupata wa kukushika mkono kutoboa ni ngumu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usaili umeshaanza huko ruvu?Sikuiz kweny haya majeshi bila kupata wa kukushika mkono kutoboa ni ngumu mkuu
Sijajua uo usaili wa Bms kama washaanza au bado ila nnachojua kua leo apo Ruvu jkt kuna sherehe ya kuwaaga wale op mabeo ambao mkataba wao ndo unaisha….alhamis wanamwagwa kila mtu kwaoo
usaili umeshaanza huko ruvu?
Ogopa sana hiki kitu, machozi ya damu huwa yanatililikaSijajua uo usaili wa Bms kama washaanza au bado ila nnachojua kua leo apo Ruvu jkt kuna sherehe ya kuwaaga wale op mabeo ambao mkataba wao ndo unaisha….alhamis wanamwagwa kila mtu kwaoo
bms ni tofauti na wasomi madaktari au?Sijajua uo usaili wa Bms kama washaanza au bado ila nnachojua kua leo apo Ruvu jkt kuna sherehe ya kuwaaga wale op mabeo ambao mkataba wao ndo unaisha….alhamis wanamwagwa kila mtu kwaoo
Sio poa mkuu, mungu atusaidie watafutaji…juzi kati kuna washkaji Nilikutana nao wao walienda mpaka msata na wamekaa pale kihangaiko miez mi2 lakin wakaja kutemwa kua wao ni unfit kweny kibangala cha unfit…washkaji wananiambia ilikua ni vilio tu huko kihangaiko na maumivu ya kutemwa walioyapata ni makali mnoo yan hata kula week nzima ilikua shida, now wapo ruvu apo na alhamis wanamwagwa kwenda makwaoo.Ogopa sana hiki kitu, machozi ya damu huwa yanatililika
Mkuu bms ni form6 hawa walioenda kwa mujibu jkt…swala la madaktar nafikir ni mpaka pale jeshi litakapokua na uhitaji na tangazo watatoa kama wanahitajbms ni tofauti na wasomi madaktari au?
Daaah kuna wanangu wawili wanakamisheni hapo🙌Haya watu wanakula nyota huko
Pagumu sana aiseee bila mbuyuu kutoboaa ni kipengeleeInahitajika mbanga ya uhakika haswaaa….tena ukiona umetoboa mpaka ukaingia pale Raphael kubaga Tanga kweny mafunzo na ukaapa kabisa basi iyo mbanga kamwe usiisahau kweny maisha yako maana atakua amefanya kazi kubwa sana mpaka ww kupata iyo kazi coz competition ni kubwa na nafas ni chache mnoo
Hapo Kuna madogo nilipiganao kozi kibiti mwingine nilimbeba mwenyewe kwenye mabega. Victor,mosses,nellis. Dogo mwengin Yupo Russia. Life is not fairHaya watu wanakula nyota huko
Kawaida tu mkuu...tuendelee kupambanaa tusijikatiee tamaa🙌🤲Hapo Kuna madogo nilipiganao kozi kibiti mwingine nilimbeba mwenyewe kwenye mabega. Victor,mosses,nellis. Dogo mwengin Yupo Russia. Life is not fair
Saivi hatutaki Ronja za jwtz. Tunataka Ronja za magereza 🏃🏃🏃Tar 15 mwezi wa 12 wa uraiani wataanza kupigiwa simu kwenda dodoma watapelekwa msata tar 27 baada ya sikukuu
Magereza na uhamiaji wapo njiani soon watakuja 🚨Saivi hatutaki Ronja za jwtz. Tunataka Ronja za magereza 🏃🏃🏃
Mapemaa tuu🙌🙌....View attachment 3164455madogo washakula shuka za bms
okayBogi la pili jeshi la wokovu 😂