Mik Jr
Member
- Sep 7, 2024
- 89
- 79
Hiii ni kupiga kozi ya tpdf ???Op miaka 60 ya jkt usili umeanza vikosini huko wa kwenda oljoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiii ni kupiga kozi ya tpdf ???Op miaka 60 ya jkt usili umeanza vikosini huko wa kwenda oljoro
NI KAMBI GANI WAMEANZA KUFANYA USAILIOp miaka 60 ya jkt usili umeanza vikosini huko wa kwenda oljoro
Wanapigiaa wapi!?
Na hii ya jkt 60 IPO jee kama unataarifa TUNAOMBA utujuzeMsata aka kihangaiko
Ni kweli walitoka msata ndio hao wanaopiga kozi walipewa mapumziko ya siku moja kuja kutalii kidogo dar na tarehe 27 wanakuja tenaLeo asubuhi maeneo ya mwenge dar es salaam niliona vijana wengi wana vipara kutega sikio nikasikia kuwa wametoka msata afuu wanarudi.
Wakuu kama una mbanga wako sema naoo aiseee Bogi la oljoro LipooNa vp kuhusu Ili la jkt op MIAKA 60
Sasa tunataka information kamili Ili tukiongea nao tuone tunaongea nnWakuu kama una mbanga wako sema naoo aiseee Bogi la oljoro Lipoo
OkNi kweli walitoka msata ndio hao wanaopiga kozi walipewa mapumziko ya siku moja kuja kutalii kidogo dar na tarehe 27 wanakuja tena
Info gan unayotakaa mzee ushaambiwa wanagonga usaili wa Tpdf....we omba nafasii apoSasa tunataka information kamili Ili tukiongea nao tuone tunaongea nn
Kwel kabsa✅Wakuu kama una mbanga wako sema naoo aiseee Bogi la oljoro
WhenWanamichezo+ wasio wanamichezo= usaili loading.