Asante kwa taarifa mkuuHuko mambo sio kama tuzaniavyo mzee Rts yaan Recruit Training school unatoka Kama TS,...alaf Level 3 ndio ukimaliza unakua Pte yaan Private huko TMA ndio Kama una elimu ukibahatika kwenye sahili bas utakua umeula ikishindikana bas utabak kuwa Pte japo utakua unakula dow ya hicho chet chako cha taaluma
Hiyo kanembwa, mtabila ni noumah Ila Bulombola ni kisanga......in short kambi za KIGOMA watu wanasema ni kugum balaaaaaKANEMBWA kambi ngumu sana hii naskiaπ€£π€£
821KJ ni baba lao kwa ugumu but now day ni ya kawaida saana Toka shetani Meja Tuilinde na koplo chuma waondokeHiyo kanembwa, mtabila ni noumah Ila Bulombola ni kisanga......in short kambi za KIGOMA watu wanasema ni kugum balaaaaa
ππππJamaa wa ikuru kafanikiaha jambo langu kwa 80% mchawi imebaki vipimo tu .....
Ngoja wajeππAmkeni Amkeni Jamanii vipi Ukoo
Soon Watu wataanza kupigwa za uso kuna mwaka Fulani Afande mmoja ivi alikusanya kibunda cha karibu watu 9 ivi afu Nafasi inakuja kutema amepewa chance moja tu... ikawa kasheshe Amuweke nani hahah duuuh ikabidi amuweke ndugu yake wengne walipigwa za uso tu.. Mpaka sasa wale madogo wanalalamika kinoma afu M. 1 zilipita iviii wawe makini hawa watu wa MbangaNgoja wajeππ
Aisee noma sana mkuu, kila la kheri [emoji28]Jamaa wa ikuru kafanikiaha jambo langu kwa 80% mchawi imebaki vipimo tu .....
Mkuu usimcheke mtu mwenye li connection la mtu wa ikuruuu[emoji23][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna nini mkuu.. nimetoka kusuka mkeka hapa..Amkeni Amkeni Jamanii vipi Ukoo
Duh noma sana hii,S
Soon Watu wataanza kupigwa za uso kuna mwaka Fulani Afande mmoja ivi alikusanya kibunda cha karibu watu 9 ivi afu Nafasi inakuja kutema amepewa chance moja tu... ikawa kasheshe Amuweke nani hahah duuuh ikabidi amuweke ndugu yake wengne walipigwa za uso tu.. Mpaka sasa wale madogo wanalalamika kinoma afu M. 1 zilipita iviii wawe makini hawa watu wa Mbanga
Mkeka wa PDF au upiKuna nini mkuu.. nimetoka kusuka mkeka hapa..
Unataka kusema maafande bado hawajapewa nafasi zao za bogi lijalo mkuu?S
Soon Watu wataanza kupigwa za uso kuna mwaka Fulani Afande mmoja ivi alikusanya kibunda cha karibu watu 9 ivi afu Nafasi inakuja kutema amepewa chance moja tu... ikawa kasheshe Amuweke nani hahah duuuh ikabidi amuweke ndugu yake wengne walipigwa za uso tu.. Mpaka sasa wale madogo wanalalamika kinoma afu M. 1 zilipita iviii wawe makini hawa watu wa Mbanga
Hahah mkuu mkeka wa betting..Mkeka wa PDF au upi
Sijui ila nahisi safari hii ngoma ngumu kupiganisha now watoto nje ya waliojila Jakata ni wengi sanaUnataka kusema maafande bado hawajapewa nafasi zao za bogi lijalo mkuu?
So far haya ndio maelekezo.Mara paaaap Op mabeyo ndio wenye kupewa priority kwanz then jazia nyama op tofaut na baba kanituma π―ππ
Zote mbwembwe muhimu connection tuSo far haya ndio maelekezo.