Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Note: Mtu yoyote akikufuata inbox akidai anaweza kukusaidia afu akitaka pesa kwanza usitume jamanii narudia Tena usitume... Coz ronja zikiwepo na matapeli ndo wanaongezeka.. more painful.. [emoji24] Daaah naelekea kukata Tamaa kabisa.

""Pay after Win"
 
Note: Mtu yoyote akikufuata inbox akidai anaweza kukusaidia afu akitaka pesa kwanza usitume jamanii narudia Tena usitume... Coz ronja zikiwepo na matapeli ndo wanaongezeka.. more painful.. [emoji24] Daaah naelekea kukata Tamaa kabisa.

""Pay after Win"
Amini kaka.

Watu wanapigwa vibaya mno.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu walishaendaga na wanakaribia kumaliza eti mtuu unamwambia anaona kama unadanganya.Aya aendelee kusubiria
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tatizo ni hao wanaokaribia kumaliza wenyewe wanapigia kozi wap akati kihangaiko apo wamemaliza tarehe 28 hao wengne wako wapi au ndo wameitwa ila course bado
 
ilianza jun mwishoni,jully mwishoni ,august mwishoni,september mwishoni, october mwishoni, november mwishoni na saahizi tusubiri december mwishoni au 2024 mwishoni
Kaka southern boy embu tupe ronja la uhakika ila December aivuki na mpaka Sasa walioitwa ni military science tu.
 
Back
Top Bottom