Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Eti wakuu Kuna kuwaga na na nafasi za kwenda Kozi ya ajira direct jwtz Kwa Mtu ambae hajapitia JKT na usahili hajafanya? make Kuna watu walinicall wakanambia hvyo ila mwishoe nilikuja kugundua Ni matapeli
 
Eti wakuu Kuna kuwaga na na nafasi za kwenda Kozi ya ajira direct jwtz Kwa Mtu ambae hajapitia JKT na usahili hajafanya? make Kuna watu walinicall wakanambia hvyo ila mwishoe nilikuja kugundua Ni matapeli
Unaelimu gani na umesoma kozi gani chuoni..!?

Tuanzie hapo kwanza halafu mengine yatafuata 😃
 
Eti wakuu Kuna kuwaga na na nafasi za kwenda Kozi ya ajira direct jwtz Kwa Mtu ambae hajapitia JKT na usahili hajafanya? make Kuna watu walinicall wakanambia hvyo ila mwishoe nilikuja kugundua Ni matapeli
Usairi Gani hajafanya ukifika uko ndo utakutana na huo usahili kwanza kabisa ungewatukana hao jamaa matapeli wengi mjini ila piah chunguza huenda ni ndugu yako kakupa connection unaikataa
 
jamani mm nina miaka 24 na pia nina elimu ya chuo kikuu area ya uhasibu ninataka kwenda JWTZ je nitaweza maana nina kitambi kiasi na 85kg hivi? maana wa mawazo tafadhari
 
Back
Top Bottom