mdalamishi
Senior Member
- Apr 15, 2023
- 190
- 187
Duh hiyo call sijui mtu atapigiwa liniHakuna PDF ni mwendo wa calls
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hiyo call sijui mtu atapigiwa liniHakuna PDF ni mwendo wa calls
Hahahah kweny calls kama wew unahitajika lazima upigiwe tuDuh hiyo call sijui mtu atapigiwa lini
😂😂😂😂 Huko mtaani watu wanapelekewa moto na mtaa hatari sio poa ndomana mtu anaona siku zimeganda.Hahahah kweny calls kama wew unahitajika lazima upigiwe tu
Takukuru wametoa kaombeMambo magumu naona hamna update yoyote watu wapo kimya sana
Sawa mkuuTakukuru wametoa kaombe
nilisikia wiki hii ila sion dalili, but JW ni wezi tuu wametutumisha maombi tumetumia gharama kumbe ni siasa
Daah.. sio poa.. ila nimepata lonja tusubir had tareh 14 mwezi huunilisikia wiki hii ila sion dalili, but JW ni wezi tuu wametutumisha maombi tumetumia gharama kumbe ni siasa
Maombi ulituma lini mkuu?nilisikia wiki hii ila sion dalili, but JW ni wezi tuu wametutumisha maombi tumetumia gharama kumbe ni siasa
fuatilia huu uziMaombi ulituma lini mkuu?
ivi mkuu wale millitary science watakua hawajaanza kozi mpaka sasa kweli?? Au walishaanzaga kitambofuatilia huu uzi
Walishaanza wanakaribia kumaliza mwezi now tangu wafungue kozi.ivi mkuu wale millitary science watakua hawajaanza kozi mpaka sasa kweli?? Au walishaanzaga kitambo
Anha apo sawa mkuuWalishaanza wanakaribia kumaliza mwezi now tangu wafungue kozi.
walianza tayariivi mkuu wale millitary science watakua hawajaanza kozi mpaka sasa kweli?? Au walishaanzaga kitambo
Ñdio hapo hata mm sielewi man mda mwinginé unaweza ukakuta símu hazipatikani kwasababu ya mtandao au zimezima chaji Sasa wakitumia mfumo wa kupigia watu simu hawaoni kabisaa ya kwamba itakuwa ni ugaigaiDuh hiyo call sijui mtu atapigiwa lini
Kweli kabisaÑdio hapo hata mm sielewi man mda mwinginé unaweza ukakuta símu hazipatikani kwasababu ya mtandao au zimezima chaji Sasa wakitumia mfumo wa kupigia watu simu hawaoni kabisaa ya kwamba itakuwa ni ugaigai
Ukweli mtupu 100%JW hamna simu wala nn ukiwa kikosini unaitwa tuu ofisini uondoke ukaripoti na ukiwa mtaani ndugu yako aliekufanyia mchongo atakupa taarifa.Ajira za jw ni michongo tu 99.99% kama una connection tunza damu karibuni tuu wanachukua tena kimyakimya. sisi watoto wa maskini walitudanganya kwa kutangaza kumbe ni sìasa