Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Huyo JKT miaka miwili then mtaa miaka mitatu atakuwa na 29 ko huenda akapata kama unaconnectionJuzi na mdogo wangu nime msent jkt ana 24yrs ana bachelor ya business ni 'KE' vipi asilimia ya kuajiriwa TPDF ukoje kwake asee.Maana najipa hope umri wake na elimu yake nikiamini anaweza kutoboa iwe isiwe.
Je wakuu wangu kwa muonavyo hii imekaaje.