Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Juzi na mdogo wangu nime msent jkt ana 24yrs ana bachelor ya business ni 'KE' vipi asilimia ya kuajiriwa TPDF ukoje kwake asee.Maana najipa hope umri wake na elimu yake nikiamini anaweza kutoboa iwe isiwe.
Je wakuu wangu kwa muonavyo hii imekaaje.
Huyo JKT miaka miwili then mtaa miaka mitatu atakuwa na 29 ko huenda akapata kama unaconnection
 
Huyo JKT miaka miwili then mtaa miaka mitatu atakuwa na 29 ko huenda akapata kama unaconnection
Apambaneee ...na madogo home boy mshua Alikuwa brigedia Gen dogo ajira za police kala za uso , uhamiaji kala za uso kote aliomba Ana skilzia Tpdf japo huko mzee alipamban bro wake mipango ikabuma
 
Ramli za jw ngumu
Ramli za jw ngumu sana 😅
Ndo mana ukaambiwa JW halitabiliki. Unaweza kuta hilo limewekwa ili watu wajisahau, wapunguze kupiga simu kwa mimbanga yao kwa kuhisi washakosa…

Alafu unakuta jiiii, kuja kushtuka watu wanakula kiapo cha utumishi, wanaambiwa wakae mbali na siasa… 😅😅
 
Back
Top Bottom