Black Codes Cracker
Senior Member
- May 7, 2022
- 188
- 238
- Thread starter
- #161
Ukweli mchungu sana huu, mnoooJW hamna simu wala nn ukiwa kikosini unaitwa tuu ofisini uondoke ukaripoti na ukiwa mtaani ndugu yako aliekufanyia mchongo atakupa taarifa.Ajira za jw ni michongo tu 99.99% kama una connection tunza damu karibuni tuu wanachukua tena kimyakimya. sisi watoto wa maskini walitudanganya kwa kutangaza kumbe ni sìasa