mdalamishi
Senior Member
- Apr 15, 2023
- 190
- 187
Duh kwaio mwanao uhakika wakupata izo nafasi ni asilimia 100?Kukesha wiki sita?😂Nna mwanangu(mtoto wa anko)yeye nafasi njennje kupata na anapenda sana sema tangu zamani mboga saba
Anatak ateme nafasi maana kila akiuliza anaambiwa huko ni kibembe
Mimi ndo nampaga hopeila yeye anaona asije kuwa kituko huko au akafa kabisa🤣🤣🤣🤣🤣
Sio 100 Ila zipozipo,watu wakubwa zaidi kuliko sisi wengine na wako serious kumpambania ni mwenyew tu anambwelaDuh kwaio mwanao uhakika wakupata izo nafasi ni asilimia 100?
Katika kumbukumbu zangu Kuna wale wa mwaka jana tangu march nafasi zilipotangazwa waliokuwa na uhakika wa kwenda rts lakini ikapita kimya kimya mpaka sasa mbanga zao hazipokei simu.Sio 100 Ila zipozipo,watu wakubwa zaidi kuliko sisi wengine na wako serious kumpambania ni mwenyew tu anambwela
Inategemea mkuu,wengine hawapigi simu,wanapigiwa na hizo mbanga kuulizwa.Na zingine wanalala nazo nyumba moja kabisa.We differ aiseeKatika kumbukumbu zangu Kuna wale wa mwaka jana tangu march nafasi zilipotangazwa waliokuwa na uhakika wa kwenda rts lakini ikapita kimya kimya mpaka sasa mbanga zao hazipokei simu.
Uhakika mkuu haya mambo ni maelekezo tu,,,, wapo wanaoambiwa mpango uliopo mbele yako ni kwenda kuuma mzigo,,,,alafu Kuna Mimi hapa tuna ng'ang'aa macho kusumbua mbanga ambazo zipo zinasikilizia mibuyu yao itoe hatma full majonzInategemea mkuu,wengine hawapigi simu,wanapigiwa na hizo mbanga kuulizwa.Na zingine wanalala nazo nyumba moja kabisa.We differ aisee
Uhakika kiongoziInategemea mkuu,wengine hawapigi simu,wanapigiwa na hizo mbanga kuulizwa.Na zingine wanalala nazo nyumba moja kabisa.We differ aisee
Tuombe tu Mungu awe upande wetuKimya tu
6 weeks tifu lake ni hatari sana inataka moyo pale inabidi uwe strong sana. Ila mbona wadada wanatoboa?Waziiii hiyo mkesha six weeks....asubuh mbio urudi unywe chai then mzigon lunch then mbio urud Kama mwepes utaoga ule ground mpaka asubuh kubeba minguzo iweke kwenye marudio hiyo kweny hizo wiki sita za mwanzo Qmm...qeee😂😂
Kwa hio after six weeks hizo zingine kidogo mchekea au?6 weeks tifu lake ni hatari sana inataka moyo pale inabidi uwe strong sana. Ila mbona wadada wanatoboa?
Baada ya six weeks huko kwingine ni maandalizi ya kuhitimisha mafunzo. Fatiki litakalokuwepo sio sawa na la six weeksKwa hio after six weeks hizo zingine kidogo mchekea au?
Mzee6 weeks tifu lake ni hatari sana inataka moyo pale inabidi uwe strong sana. Ila mbona wadada wanatoboa?
chakula ya wakubwaMzee
Wadada sio wa kuji-compare nao hata siku Moja ....Elewa hivyo tu.
Tupambane tu mzee
Kabisa mkuuMzee
Wadada sio wa kuji-compare nao hata siku Moja ....Elewa hivyo tu.
Tupambane tu mzee
Iwe heri kwetuKufikia wiki ya pili ya mwezi wa 7 naamini wenye kubahatika watakua maskonga🙏🏽
Mbn niliambiwa washaondoka haohawa wanaomalizia RTS kwani bado hawajajua tarehe yao ya kuapa?
wameshaapa tayari?Mbn niliambiwa washaondoka hao
Nahisi kuapa Bado Lazima tungesikia Mungu BABA nisaidieeeewameshaapa tayari?