Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Askari mzuri ni yule anayenusa hatari mapema kabla hajachelewa…Kaka taratibu ameteleza ndugu yetu
Askari mbona unajaa nyembe mapema sana
😂😂😂
Sure man maana nilienda nikakaa mwezi nikarudi imagine making 2m+ per month af ghafla uwe busy na fatiq mabio na self defense for 10 months bila kuingiza chochote ni tough sana maana akili inakua haitulii.Komaa na mishe nyingine mkuu, ili sisi jobless wapambanaji tupate nafasi kirahis [emoji1](jokes) .. lakini ni heri ukomae na biashara maana waswahili wanasema "usiache mbachao kwa msala upitao" unaweza enda kozi na usitoboe
Eleza kwa upana mkuuSure man maana nilienda nikakaa mwezi nikarudi imagine making 2m+ per month af ghafla uwe busy na fatiq mabio na self defense for 10 months bila kuingiza chochote ni tough sana maana akili inakua haitulii.
Shida inakuja baada ya kurudi uraian unakua na stress sana, af unakuta fursa pia wanao walio kutangulia wanataka urudi kambini
Af ile hali ukiingia jeshi tu linakukaa kwenye damu...
What would you do if you were me.
Nilipata mbangaEleza kwa upana mkuu
Ilikua kozi gani mkuu??Nilipata mbanga
Nikapata nafasi, nikaitwa depo nmenda nmekomaa mwezi mzima, kila kitu kipo poa course nyepes haina mambo mengi.
Shida inakuja mtaani nilikua na harakati zangu, si haba .... kila siku nikawa naona kama fursa zinaniacha so nkafanya namna nkaomba kurudi niendelee na mishe mishe.
Haya nmerudi uraian wanagu (mbanga wengine) wanataka niingie sehem walipo wao kwamba kule nilienda ningejila
Ndio maana hapo juu niliuliza kuhusu wapi pana mislai mazuri na wapi ukienda unakua umejila,
Au bora kukomaa tu na mtaaa.
Natumaini umeelewa
Ulienda kozi gani mkuu na kwa sasa hapo mbaga wengine we apo chombo gani hapo mbn unaacha Dot's????Nilipata mbanga
Nikapata nafasi, nikaitwa depo nmenda nmekomaa mwezi mzima, kila kitu kipo poa course nyepes haina mambo mengi.
Shida inakuja mtaani nilikua na harakati zangu, si haba .... kila siku nikawa naona kama fursa zinaniacha so nkafanya namna nkaomba kurudi niendelee na mishe mishe.
Haya nmerudi uraian wanagu (mbanga wengine) wanataka niingie sehem walipo wao kwamba kule nilienda ningejila
Ndio maana hapo juu niliuliza kuhusu wapi pana mislai mazuri na wapi ukienda unakua umejila,
Au bora kukomaa tu na mtaaa.
Natumaini umeelewa
Ni noma sana mkuu huko Maliasili kuingia sio kizembe inabidi uwe na connection haswaaBig point unajua wahitimu wa wanyama poli Kwanzia intake gan hajapata hizo ajira ni kisanga aseee mpk uwe na connection nzito hasaaaaaa...
Hapa namaanisha JU01 NCAA, JU 02 tanapa, JU03 TAWA....ukiachilia mbali 04 Tfs
I personally know watu waliopo TISS na JW i can say unaona kabisa kuna maisha mazuri. Ukiwa na uhakika wa kwenda mpaka Monduli pale ni heri JW nilikuwa napiga story na usu mmoja last month akanionesha mshahara wake nilikubali 🙌🏽 ila uhuru ndio hakunaNikisema nilikua wapi ntakua nasaliti jeshi kaka af mbanga nnaweza pata sehem 4 tofauti ndio maana nkasema generally kwamba
Wapi pazuri na wapi unajila...
Ila nikisema nilikua wapi ntakua nakosea heshima pale nilikua
Huko Maliasili kama una Bachelor ingia huko kuna unyama mwingi sana , na hakuna mambo mengi kama JW na kwnginekoNikisema nilikua wapi ntakua nasaliti jeshi kaka af mbanga nnaweza pata sehem 4 tofauti ndio maana nkasema generally kwamba
Wapi pazuri na wapi unajila...
Ila nikisema nilikua wapi ntakua nakosea heshima pale nilikua
Ni kweli kabisa majeshi yote TZ JW na TISS ndo yanaongoza kwa maisha, japo ni RiskyI personally know watu waliopo TISS na JW i can say unaona kabisa kuna maisha mazuri. Ukiwa na uhakika wa kwenda mpaka Monduli pale ni heri JW nilikuwa napiga story na usu mmoja last month akanionesha mshahara wake nilikubali [emoji1430] ila uhuru ndio hakuna
Kama una mtu wa uhakika wa kukupeleka Monduli, nenda JW hutojutia.Nikisema nilikua wapi ntakua nasaliti jeshi kaka af mbanga nnaweza pata sehem 4 tofauti ndio maana nkasema generally kwamba
Wapi pazuri na wapi unajila...
Ila nikisema nilikua wapi ntakua nakosea heshima pale nilikua
Uhakika mkuu wapo wanangu saivi wanapiganisha wavae baka baka maan huko sio akitaka kuamini aangalie graduate wa pasiansi toka mwaka gan ajira apeche aloloNi noma sana mkuu huko Maliasili kuingia sio kizembe inabidi uwe na connection haswaa
Ukishatoka Monduli maisha yanabadilika kabisa. Japo siku hizi napo kufika imekuwa ngumu kiasi.Kama una mtu wa uhakika wa kukupeleka Monduli, nenda JW hutojutia.
Sio siku hizi, kufika Monduli ni ngumu. Ndio maana nikasema ukiwa na 'Mbuyu' wa uhakika umetoboa.Ukishatoka Monduli maisha yanabadilika kabisa. Japo siku hizi napo kufika imekuwa ngumu kiasi.
Haiwezekani.So unataka kusema mtu akiingia na 4m4 div range 1,2-3 anauwezo wa kuvaa nyota...
Akiwa na mbuyu
Na kamwe hawez kuwa Offcr hata iweje au akijiendeleza kusoma itawezekanaHaiwezekani.