Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Weight inatakiwa ianzie ngapi ndugu/isipungue Kg ngapi?
 
Leo BMS wanaapa rts
Rts hipi hiyo mzee maan Kihangahiko waliokuwepo washaondoka kwenda vikos walivyopangwa na hii wiki yaan j3 na Jana Iveco zina wa mwaga mtaa tu mda ukitimia wanageuka ....sasa hao wanao hapa ni wap?
 
Rts hipi hiyo mzee maan Kihangahiko waliokuwepo washaondoka kwenda vikos walivyopangwa na hii wiki yaan j3 na Jana Iveco zina wa mwaga mtaa tu mda ukitimia wanageuka ....sasa hao wanao hapa ni wap?
Eleza kwa upana mkuu mi mwenyewe sjakuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…