Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Hahah hii ngoma inataka iwe kama mwaka jana sasaBro ni kweli kbs ila Nina amini ikigonga July tu mkimbizano utaanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah hii ngoma inataka iwe kama mwaka jana sasaBro ni kweli kbs ila Nina amini ikigonga July tu mkimbizano utaanza
Uhakika mkuu mbombo ngafu hii😂Hahah hii ngoma inataka iwe kama mwaka jana sasa
Hapa dua ni kuzihamishia kwenye Mkeka wa Polisi sasaHahah hii ngoma inataka iwe kama mwaka jana sasa
Alooooo🥺Hapa dua ni kuzihamishia kwenye Mkeka wa Polisi sasa
Huu nao ni lini wataachia,mwezi sasa tangu deadline ya kutuma maombi!Hapa dua ni kuzihamishia kwenye Mkeka wa Polisi sasa
Sijajua lakini nazani soonHuu nao ni lini wataachia,mwezi sasa tangu deadline ya kutuma maombi!
Weight inatakiwa ianzie ngapi ndugu/isipungue Kg ngapi?Najua RTS vizuri sana Vipimo vinavyopimwa ni Vingi nianze kumuandikia List kwelii..
=>B.P
=>Hepatitis B&C
=>SYPHILIS.
=>HIV/AIDS
=>EYE/EAR
=>MUSCLES AND BONE ARRANGEMENT.
=>Weight.
=>FEET PRINT.
=>ANUS MUSCLES.
=>TEETH ARRANGEMENT.
=>Malaria.
=>VEIN DISTRIBUTARIES..
VINGINE: NIFUATE Pm
50<X<80🥴Weight inatakiwa ianzie ngapi ndugu/isipungue Kg ngapi?
Inatakiwa ianzie 50> kutegemea na miakaWeight inatakiwa ianzie ngapi ndugu/isipungue Kg ngapi?
BMS ni Akina nani?Leo BMS wanaapa rts
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo wanangu wa jf watakao bahatika kuzama Rts watakua hawajuani kisura juu ya haya manick name ya JF
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii wiki ndo nlitegemea lonja ztakua za kumwaga lkn ni kunyume chake[emoji51][emoji51]
Military scienceBMS ni Akina nani?
Sio pw asee inakatisha tamaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa mpoleee kitenge utavaa tyuuh!!Sio pw asee inakatisha tamaa
Rts hipi hiyo mzee maan Kihangahiko waliokuwepo washaondoka kwenda vikos walivyopangwa na hii wiki yaan j3 na Jana Iveco zina wa mwaga mtaa tu mda ukitimia wanageuka ....sasa hao wanao hapa ni wap?Leo BMS wanaapa rts
Eleza kwa upana mkuu mi mwenyewe sjakuelewaRts hipi hiyo mzee maan Kihangahiko waliokuwepo washaondoka kwenda vikos walivyopangwa na hii wiki yaan j3 na Jana Iveco zina wa mwaga mtaa tu mda ukitimia wanageuka ....sasa hao wanao hapa ni wap?