Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Najua RTS vizuri sana Vipimo vinavyopimwa ni Vingi nianze kumuandikia List kwelii..
=>B.P
=>Hepatitis B&C
=>SYPHILIS.
=>HIV/AIDS
=>EYE/EAR
=>MUSCLES AND BONE ARRANGEMENT.
=>Weight.
=>FEET PRINT.
=>ANUS MUSCLES.
=>TEETH ARRANGEMENT.
=>Malaria.
=>VEIN DISTRIBUTARIES..

VINGINE: NIFUATE Pm
Weight inatakiwa ianzie ngapi ndugu/isipungue Kg ngapi?
 
Rts hipi hiyo mzee maan Kihangahiko waliokuwepo washaondoka kwenda vikos walivyopangwa na hii wiki yaan j3 na Jana Iveco zina wa mwaga mtaa tu mda ukitimia wanageuka ....sasa hao wanao hapa ni wap?
Eleza kwa upana mkuu mi mwenyewe sjakuelewa
 
Back
Top Bottom