Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Mbanga wanasema kuripot kuanzia tarehe 1 mpaka 10 mwezi wa 9 majina yanatoka tarehe 25. Za juu juuKalanga baho@ Tupe lonja kama umefika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbanga wanasema kuripot kuanzia tarehe 1 mpaka 10 mwezi wa 9 majina yanatoka tarehe 25. Za juu juuKalanga baho@ Tupe lonja kama umefika?
Nakubali mwanetu huna bayaMbanga wanasema kuripot kuanzia tarehe 1 mpaka 10 mwezi wa 9 majina yanatoka tarehe 25. Za juu juu
Ngome gani hiyo wameendaaJamaa wameenda ngome kabisa asa wananichanganya kweli
Wanasema makao makuu kule msalato sio ngomeNgome gani hiyo wameendaa
Watu humu ni wadogo aseeKama Kuna mtu kapeleka maombi pale makao makuu atupe muongozo wengine bado tupo gizani je tutume posta au tupeleke makao Moja kwa Moja
Kama unaweza sogea tu pale msalato maana wanapokea halafu unaandika jina na namba kwenye daftari.Kama Kuna mtu kapeleka maombi pale makao makuu atupe muongozo wengine bado tupo gizani je tutume posta au tupeleke makao Moja kwa Moja
Kwahyo posta ni uongo ata Kwa njia ya EMSKama unaweza sogea tu pale msalato maana wanapokea halafu unaandika jina na namba kwenye daftar
Hujajibu swali hapo mkuuWatu humu ni wadogo asee
Yaani below 25😂
Kizazi cha 2000
Kila la kher madogo wapambanaji
Mimi naona kwasababu hawajasema vijana aliye karibu apeleke direct na wambali watumie posta ,Wanasema makao makuu kule msalato sio ngome
Kwani post za jwtz za mwaka Jana watu walituma wapi ?Hujajibu swali hapo mkuu
Mimi naona kwasababu hawajasema vijana aliye karibu apeleke direct na wambali watumie posta ,
Kwani post za jwtz za mwaka Jana watu walituma wapi ?
Mi naona ukituma kwa EMS itafika vzr tuMimi naona kwasababu hawajasema vijana aliye karibu apeleke direct na wambali watumie posta ,
Kwani post za jwtz za mwaka Jana watu walituma wapi ?
Tumieni EMS inafika siku hiyo hiyoMi naona ukituma kwa EMS itafika vzr tu
Tumieni EMS inafika siku hiyo hiyo
Mi naona ukituma kwa EMS itafika vzr tu
Sio mbaya hata watakao tumia posta coz Kuna watu wengi wametumia posta Janakama upo jiran peleka ngome moja kwa moja
ni sahihi piaSio mbaya hata watakao tumia posta coz Kuna watu wengi wametumia posta Jana
Nimepeleka leo mkuu hakuna shida kabisaKama Kuna mtu kapeleka maombi pale makao makuu atupe muongozo wengine bado tupo gizani je tutume posta au tupeleke makao Moja kwa Moja
Watu humu ni wadogo asee
Yaani below 25😂
Kizazi cha 2000
Kila la kher madogo wapambanaji
Hao wanaweza kupita coz mwaka Jana walikuwq 18 Hadi 26 Soo probably Wana nafasi ya kupita piaHadi wa 1998 mbona wamepokelewa