Uncle Reem
Senior Member
- May 14, 2023
- 115
- 210
Hili bogi hadi Kichuya atakuepo ndani, sasa we jiulize Kichuya ana umri gani ,jamaa kipindi anawika Simba Sc mie nipo form 5 huko ila Juzikati nimeona amemaliza kozi JKT.Miaka watu wan
Achekecha mkuu kuna watu wanasema wao darasa la saba ila ukiwaona unakataa
60 ya jkt na kamalizia pale ruvu mm nakwambia haya maisha yaache tu wenye sifa wanakosa wasio na sifa wanapata kwa wingiHili bogi hadi Kichuya atakuepo ndani, sasa we jiulize Kichuya ana umri gani ,jamaa kipindi anawika Simba Sc mie nipo form 5 huko ila Juzikati nimeona amemaliza kozi JKT.
Niliwahi kusema humu, kwamba kuna watu wanavigezo vyote na barua wameandika kwa mwandiko mzuri na watakosa, Ila kuna wengine hakuna kila kitu yaani wana Namba ya simu na Majina yao tu ila watapenya hukoWe acha tu yaan pale kihangaiko ndio mwisho kama mmbanga wako hana maji unatoka kweupeee kuna bog la baba kanituma kabla kozi kuanza mtajione wenyewe
AiseeeTena op miaka
60 ya jkt na kamalizia pale ruvu mm nakwambia haya maisha yaache tu wenye sifa wanakosa wasio na sifa wanapata kwa wingi
Niliwahi kusema humu, kwamba kuna watu wanavigezo vyote na barua wameandika kwa mwandiko mzuri na watakosa, Ila kuna wengine hakuna kila kitu yaani wana Namba ya simu na Majina yao tu ila watapenya huko
Nakumbuka 824kj kanembwa sio poa aiseeWazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.
NB: Depo ya kihangaiko ya mvua ni balaa wazee. Jiandaeni kisaikolojia. Sijawahi kupiga hiyo, ila atleast kwa mazingira flani nimewahi kuona.
kwa mtoto wa kike hata mie sishauri aisee, ni sawa na kupeleka swala kwenye banda la simba ukidhani na yeye atakuwa Simba baadaeUsahili wa kwaza teyari ushafanywa before ata tangazo kutoka uhu walio tangaza wanalengo lao wengine wanasindikiza watu ty ila mm kama nina mtoto wakike sipeleki jeshi
kwa mtoto wa kike hata mie sishauri aisee, ni sawa na kupeleka swala kwenye banda la simba ukidhani na yeye atakuwa Simba baadae
Sema mwisho wa siku kwenye hizi harakati akitoka Mungu, Mbanga ndo kila kitu, yaani ni uwe na bahati sana ama Mbanga iwe imeshibaWanagalagazwa vichakani mh hapana napatwa hasira yaani mwanangu hawezi kuwa askari hasaa wakike
Form six na form four tu?wanahitajika wapiganaji wakutosha ndo maana form4 na 6 wamepewa kipaombele. ila yote kwa yote hata kama unajua unakasoro kiasi gani hili bogi usiache kutuma maombi .
Kwanini bro?Kozi za jeshi kozi kuwa ngumu au nyepesi ni watoto wakike wataamua ipo ivyooo
Sifa mbanga wako awe na maji kweliSema mwisho wa siku kwenye hizi harakati akitoka Mungu, Mbanga ndo kila kitu, yaani ni uwe na bahati sana ama Mbanga iwe imeshiba
Tangazo linasema hivo, Ila kujiongeza muhimu hata kama umemaliza chuo andaa Mbanga wako halafu Tumia gamba la form6, mengine yatajulikana mbele kwa mbeleForm six na form four tu?
Kwanini bro?
Vikosini wapo wachache sana form sixTangazo linasema hivo, Ila kujiongeza muhimu hata kama umemaliza chuo andaa Mbanga wako halafu Tumia gamba la form6, mengine yatajulikana mbele kwa mbele
Halafu deadline ya kutuma maombi ni leo, Oya mkianza kupata SMS tuambiane sio mnachikichia kimyakimyaVikosini wapo wachache sana form six
Halafu deadline ya kutuma maombi ni leo, Oya mkianza kupata SMS tuambiane sio mnachikichia kimyakimya
Hapo kuna wenye ndevu, nywele nyingi. Huwezi wadhaniaMwendo wa Vitenge tuView attachment 3069238