Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Dah! Maisha bwana, zamani hizi kazi zilikua zinakimbiwa kabisa, ila saivi ni dili hatari, yaani mbanga zinapigana vikumbo kuweka watu wao. Marehemu babu yangu alikuaga mjeshi alitaka kuwapush watoto wake wa kiume waingie huko,walitoroka hom wiki mbili, walivorudi akatemana nao ,saivi wakinisimuliaga huwa wanajilaani sana,wanasingizia ulikua ni utoto. wanakwambia enzi hizo kigezo ni Ujue Kusoma na Kuandika tu.
Kama saizi mbanga Wanapambana kinoma nafasi ni nyingi sana ila Hazitoshi 🤣🤣 kila lakheri wapambanaji
 
Back
Top Bottom