NIna mwanangu mmoja sema yule dogo wakishua toka tuko daras la pili,.mzee wake alikuwa luten kanali na sasa ni kanali na ni mkuu wa wilaya huko, mwana ka maliz six pcm ana 1 kali, kaenda mujibu karudi then ikaja hio military science, , kapiga koz ya privat miez 6 akaunga na officer cadet kaenda misri miez 3, karudi now yuko tma ndio anamaliza mwka huu anavaa nyota 1, dogo tu age 25, huku baba kanali, niseme kitu tu kuna watu wameandikiwa bwana yani wanateleza tu njia wazazi walishaset maana mtu anapata jobu bado yuko kwa wazazi, na hajaangaika mtaani na kwao wako 2 , sister ake alikataa jeshi ila yuko mahali pazuri.
Mkipata nafasihya kwenda tma kazeni wakuu, nyota ni utawala sana tena ukiwa age ndogo tu.