Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Huyo dogo kama namjua hivi.. sio mitaa ya kijichi?
 
Kwahiyo mwezi huu mwishoni masela wanaanza kuzama RTS mkuu??
iwe kheri
 
Sema mwanangu suala la kutumiwa meseji watu zaidi ya 5000 sio kwel mi najua siku ikifika ni mkeka pdf la maana usipoona jina bhs tena jarbu mwakani
 
5000? wakizidi ni 3000
Kaka RTs kihangaiko inahitajika waende 3500 afu RTs ya longido wanatakiwa zaidi ya 2500 na ushee, though huwa wanachukua jumla ya watu 5000 lakini this term wameongeza kwa sbb ya political agenda next year ni general election Nd maana wameongeza watu na sio Tu wizara ya ulinzi sector zote zinatakiwa kuajiri
 
Uko kambini nini mzee wa kazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…