Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

NIna mwanangu mmoja sema yule dogo wakishua toka tuko daras la pili,.mzee wake alikuwa luten kanali na sasa ni kanali na ni mkuu wa wilaya huko, mwana ka maliz six pcm ana 1 kali, kaenda mujibu karudi then ikaja hio military science, , kapiga koz ya privat miez 6 akaunga na officer cadet kaenda misri miez 3, karudi now yuko tma ndio anamaliza mwka huu anavaa nyota 1, dogo tu age 25, huku baba kanali, niseme kitu tu kuna watu wameandikiwa bwana yani wanateleza tu njia wazazi walishaset maana mtu anapata jobu bado yuko kwa wazazi, na hajaangaika mtaani na kwao wako 2 , sister ake alikataa jeshi ila yuko mahali pazuri.

Mkipata nafasihya kwenda tma kazeni wakuu, nyota ni utawala sana tena ukiwa age ndogo tu.
Huyo dogo kama namjua hivi.. sio mitaa ya kijichi?
 
Kwahiyo mwezi huu mwishoni masela wanaanza kuzama RTS mkuu??
iwe kheri
Hizi sasa ndo lonja tunazozitaka sio kama huyo Marco polo anaongea uongouongoo tu. Ingawa mi Kuna kipindi kabla nafas hazjatoka mbanga iliniambia usahili utapigika dodoma ingawa kwa nnavoujua utaratibu wa tpdf ni sms Moja tu uripoti rts kwa usahili wa vipimo na vikolombwezo vingine. Skutaka kuulizwa Maswali mengi ngj tuone safari hii utaratibu utakuaje.
 
Hizi sasa ndo lonja tunazozitaka sio kama huyo Marco polo anaongea uongouongoo tu. Ingawa mi Kuna kipindi kabla nafas hazjatoka mbanga iliniambia usahili utapigika dodoma ingawa kwa nnavoujua utaratibu wa tpdf ni sms Moja tu uripoti rts kwa usahili wa vipimo na vikolombwezo vingine. Skutaka kuulizwa Maswali mengi ngj tuone safari hii utaratibu utakuaje.
Sema mwanangu suala la kutumiwa meseji watu zaidi ya 5000 sio kwel mi najua siku ikifika ni mkeka pdf la maana usipoona jina bhs tena jarbu mwakani
 
5000? wakizidi ni 3000
Kaka RTs kihangaiko inahitajika waende 3500 afu RTs ya longido wanatakiwa zaidi ya 2500 na ushee, though huwa wanachukua jumla ya watu 5000 lakini this term wameongeza kwa sbb ya political agenda next year ni general election Nd maana wameongeza watu na sio Tu wizara ya ulinzi sector zote zinatakiwa kuajiri
 
Kaka RTs kihangaiko inahitajika waende 3500 afu RTs ya longido wanatakiwa zaidi ya 2500 na ushee, though huwa wanachukua jumla ya watu 5000 lakini this term wameongeza kwa sbb ya political agenda next year ni general election Nd maana wameongeza watu na sio Tu wizara ya ulinzi sector zote zinatakiwa kuajiri
Uko kambini nini mzee wa kazi?
 
Back
Top Bottom