Uncle Reem
Senior Member
- May 14, 2023
- 115
- 210
Hii ni kweli hata mbanga yangu imenidokezea,kuhusu kupeleka mkononi, Ila kitaeleweka tuWanangu za chini ya kapeti wanasema wameanza na waliopeleka barua makao makuu, waliopeleka posta hawakuelewa maelekezo barua za posta hazijafika
Zitapokelewa wote sifa mnazo tatzo kuna wenzenu waliofika makao makuu kuna taarifa waliandika ndo hiyo shida hakuna mtu wa kukuandikia barua yako ikifikamkuu kwa posta .vip hazipokelewi
Dokezo lingine nililopewa ni kwamba wenye sifa za ziada, mfano: Ufundi watazingatiwa sanaHii ni kweli hata mbanga yangu imenidokezea,kuhusu kupeleka mkononi, Ila kitaeleweka tu
Mkuu hawakusema wanazingatia sifa za ziada ni muhimu elimu ya 4 na 6 .Dokezo lingine nililopewa ni kwamba wenye sifa za ziada, mfano: Ufundi watazingatiwa sana
Asa watajuaje kama una sifa ya Ziada wakati hawakusema uweke na vyeti vingineDokezo lingine nililopewa ni kwamba wenye sifa za ziada, mfano: Ufundi watazingatiwa sana
Brazakaka,maneno haya sijasema mimi. nimepewa na Mbanga, ambayo mwanzo iliniambia tangazo la kuandikishwa litatoaka mwezi july sikuiamini, maana mbanga zingine zote zilisema ni September, cha ajabu kweli tangazo lilitoka July 30,so na hili la sifa za ziada nimefikishiwa kama hivo.Mkuu hawakusema wanazingatia sifa za ziada ni muhimu elimu ya 4 na 6 .
Unaruhusiwa kujieleza kwenye barua ya kuomba kuandikishwa juu ya uwezo wako wa ziada ulionao, nadhani hapa wataangalia wale wa OP zilizopita waliokuwa mtaaniAsa watajuaje kama una sifa ya Ziada wakati hawakusema uweke na vyeti vingine
Mkuu unaamini watasoma barua moja moja mwanzo mpaka mwisho?Unaruhusiwa kujieleza kwenye barua ya kuomba kuandikishwa juu ya uwezo wako wa ziada ulionao, nadhani hapa wataangalia wale wa OP zilizopita waliokuwa mtaani
Hawawezi kusoma zote. vipi kwenye usaili?Mkuu unaamini watasoma barua moja moja mwanzo mpaka mwisho?
Brazakaka,maneno haya sijasema mimi. nimepewa na Mbanga, ambayo mwanzo iliniambia tangazo la kuandikishwa litatoaka mwezi july sikuiamini, maana mbanga zingine zote zilisema ni September, cha ajabu kweli tangazo lilitoka July 30,so na hili la sifa za ziada nimefikishiwa kama hivo.
Duh na kuitwa ni lini kakaBrazakaka,maneno haya sijasema mimi. nimepewa na Mbanga, ambayo mwanzo iliniambia tangazo la kuandikishwa litatoaka mwezi july sikuiamini, maana mbanga zingine zote zilisema ni September, cha ajabu kweli tangazo lilitoka July 30,so na hili la sifa za ziada nimefikishiwa kama hivo.
Mbanga zote zinasema kuanzia tarehe 20 mwezi huu SMS zitatembea, halafu kuingia Kihangaikoni ni mapema SeptemberDuh na kuitwa ni lini kaka
Kwa ninavyohisi na ninavyojua wenye ufundi wengi watakuwa ni wale kutoka vikosini ambao pia watakuwa ni wengi zaidi kushinda ambao wanatoka mtaani.Hawawezi kusoma zote. vipi kwenye usaili?
Mkufunziii ππWa msata mtanikuta mtimamu.
Lazima tuwatoe maaskari show showMkufunziii [emoji16][emoji16]
Sifa mbanga mkuu hzo zengine mbwembwe tu na sio kila mbanga atakwambia upeleke barua. Wengine wanakuomba tu taarifa zako kazi inakua imeisha hapoWanangu za chini ya kapeti wanasema wameanza na waliopeleka barua makao makuu, waliopeleka posta hawakuelewa maelekezo barua za posta hazijafika
Au sio? Mshaniandalia kisago kabisa πKalaga Baho ukifika Rts kihangaiko nitafute ndugu yangu nina zawadi yako ya mdogo wangu but utakubaliii
Kwahiyo hao ndio wataoanza kuitwa Rts??.....Wanangu za chini ya kapeti wanasema wameanza na waliopeleka barua makao makuu, waliopeleka posta hawakuelewa maelekezo barua za posta hazijafika
Hili kama linamake sensi. Zanziba kuna jambo linaendelea ila hawasemi tu!.. wenye za ndaaaaani watanialewainasemekana wanataka watu elfu saba na ushenzi hivo zandani ni kwamba shule zitakazotumika ni oljoro, msata na zanzibar