Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Mkuu sijafika bado, bambino wamenizuia nimerudi uraian kwanzaduuuh kwahiyo ndugu zangu waliosema zinakuja sms tu kwenda shuleni,,, upepo umebadirika saiv n usahili tena Dom???
Kalaga Baho Nongwa vp ushafika safari yako ya Rts??
Omar omar mwaga madini mkuu
Tarehe 25 huko sio siku za karibun hizWale waliosema sms kwanzia 21st-25th n kamba za mafarijiano?
Kwa hiyo mkuu sisi tunaosubir sms imekula kwetu?Wakuu za chini nmeckia usaili ni dodoma na ni mwez wa 9
C bado awajaanza kutuma xaiv c wanachambua maombi kwanza watakao kizi vigezo watatumiwa sms hizo au pdfKwa hiyo mkuu sisi tunaosubir sms imekula kwetu?
PDF ni ndoto niko nimekaa pale, huku Ngoma inamalizwa kibabe tu mwendo wa sms na Calls..C bado awajaanza kutuma xaiv c wanachambua maombi kwanza watakao kizi vigezo watatumiwa sms hizo au pdf
Hakuna pdf ni sms na calls basiC bado awajaanza kutuma xaiv c wanachambua maombi kwanza watakao kizi vigezo watatumiwa sms hizo au pdf
Ukisema Vikosini una maana gan?Hizo Mambo za PDF Sina Imani nazo kabisa na wengine wanasema hayo maombi n kwa ajiri ya kujazia watu maan kuna wana waliokwisha fanyiwa usahili vikosini ...Sasa je mnaosema usahili dodoma Ina maan utakua usahili wa waliotuma maombi tu au ni vp?
Maana kuna watu wanadai kuwa usahili utafanyika huko huko shuleni kwa watakao kuwa wamekidhi vigezo kwenye maombi
Ni kweli watu walifanya usaili ilikua mwezi wa sita then kama waka skip then baada ya mda likaja hili tangazo..zingatia ajira nyingi za vyombo vya ulinzi na usalama hasa jwtz hata wenyewe wanakuambia fanya yote ila hakikisha nyuma yako kuna mtu "mbanga" sasa hio ya kusema wanajazia sio kweri mana hatujui idadi ya wanaotaka kwa walio vikosini na uraiani ila za chini inasemekana wanaotakiwa ni 7000+ muhimu tusubiri kama ni riziki yako utaitwa tuHizo Mambo za PDF Sina Imani nazo kabisa na wengine wanasema hayo maombi n kwa ajiri ya kujazia watu maan kuna wana waliokwisha fanyiwa usahili vikosini ...Sasa je mnaosema usahili dodoma Ina maan utakua usahili wa waliotuma maombi tu au ni vp?
Maana kuna watu wanadai kuwa usahili utafanyika huko huko shuleni kwa watakao kuwa wamekidhi vigezo kwenye maombi
Walio kwenye makambi ya JKTUkisema Vikosini una maana gan?
Yaani Sina hamu na hili jeshi kabisa walichotufanyia kipindi kile ata hamu ya kuvaa iko kitenge ishaisha kabisa😂😂😂Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.
NB: Depo ya kihangaiko ya mvua ni balaa wazee. Jiandaeni kisaikolojia. Sijawahi kupiga hiyo, ila atleast kwa mazingira flani nimewahi kuona.
Ilikuaje mkuu😁Yaani Sina hamu na hili jeshi kabisa walichotufanyia kipindi kile ata hamu ya kuvaa iko kitenge ishaisha kabisa😂😂😂
Kipindi iko tulifanya maombi mkoa Xkutoka wiliyani mpk kufika mkoani kwenyew ukaguzi umefanyika kila kitu na udharirishaji Mimi niseme Ivo mwisho wa siku nahela wakaitaji sasa nikabaki na maswali kama walikua hawatuitaji sinibora wangetuacha kule wilayaniIlikuaje mkuu😁
Mimi nilifika mpaka msata kaka kwenye vipimo.. katika sehem unatakiwa umuombe mungu au kama una mbanga unatakiwa uisumbue ni pale kuna figisu nikajaza kuna fomu mtapewa mjaze sijui taalifa zenu binafsi nikajaza kuna taratibu nyingine mtaona nikafanya sasa kwenye vipimo nikafanya yakasomwa majina ya unfit langu likawepo oya wana walikua wanalia tulitemwa 250Kipindi iko tulifanya maombi mkoa Xkutoka wiliyani mpk kufika mkoani kwenyew ukaguzi umefanyika kila kitu na udharirishaji Mimi niseme Ivo mwisho wa siku nahela wakaitaji sasa nikabaki na maswali kama walikua hawatuitaji sinibora wangetuacha kule wilayani
Wewe wasema wakati sisimila kitu tulikua tushamalizaMimi nilifika mpaka msata kaka kwenye vipimo.. katika sehem unatakiwa umuombe mungu au kama una mbanga unatakiwa uisumbue ni pale kuna figisu nikajaza kuna fomu mtapewa mjaze sijui taalifa zenu binafsi nikajaza kuna taratibu nyingine mtaona nikafanya sasa kwenye vipimo nikafanya yakasomwa majina ya unfit langu likawepo oya wana walikua wanalia tulitemwa 250
😂Wewe wasema wakati sisimila kitu tulikua tushamaliza
Alafu kabla hatujaondoka wakaja watu toka mtaani nahisi ndio walijaza zile nafasi tuliotemwaWewe wasema wakati sisimila kitu tulikua tushamaliza