Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Hizo Mambo za PDF Sina Imani nazo kabisa na wengine wanasema hayo maombi n kwa ajiri ya kujazia watu maan kuna wana waliokwisha fanyiwa usahili vikosini ...Sasa je mnaosema usahili dodoma Ina maan utakua usahili wa waliotuma maombi tu au ni vp?
Maana kuna watu wanadai kuwa usahili utafanyika huko huko shuleni kwa watakao kuwa wamekidhi vigezo kwenye maombi
 
Hizo Mambo za PDF Sina Imani nazo kabisa na wengine wanasema hayo maombi n kwa ajiri ya kujazia watu maan kuna wana waliokwisha fanyiwa usahili vikosini ...Sasa je mnaosema usahili dodoma Ina maan utakua usahili wa waliotuma maombi tu au ni vp?
Maana kuna watu wanadai kuwa usahili utafanyika huko huko shuleni kwa watakao kuwa wamekidhi vigezo kwenye maombi
Ukisema Vikosini una maana gan?
 
mambo ni kimyakimya mtashtukia tu kwa Millard ayo, watu wanaapishwa RTS Kihangaiko
20230724_012735.jpg
 
Hizo Mambo za PDF Sina Imani nazo kabisa na wengine wanasema hayo maombi n kwa ajiri ya kujazia watu maan kuna wana waliokwisha fanyiwa usahili vikosini ...Sasa je mnaosema usahili dodoma Ina maan utakua usahili wa waliotuma maombi tu au ni vp?
Maana kuna watu wanadai kuwa usahili utafanyika huko huko shuleni kwa watakao kuwa wamekidhi vigezo kwenye maombi
Ni kweli watu walifanya usaili ilikua mwezi wa sita then kama waka skip then baada ya mda likaja hili tangazo..zingatia ajira nyingi za vyombo vya ulinzi na usalama hasa jwtz hata wenyewe wanakuambia fanya yote ila hakikisha nyuma yako kuna mtu "mbanga" sasa hio ya kusema wanajazia sio kweri mana hatujui idadi ya wanaotaka kwa walio vikosini na uraiani ila za chini inasemekana wanaotakiwa ni 7000+ muhimu tusubiri kama ni riziki yako utaitwa tu
 
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.

NB: Depo ya kihangaiko ya mvua ni balaa wazee. Jiandaeni kisaikolojia. Sijawahi kupiga hiyo, ila atleast kwa mazingira flani nimewahi kuona.
Yaani Sina hamu na hili jeshi kabisa walichotufanyia kipindi kile ata hamu ya kuvaa iko kitenge ishaisha kabisa😂😂😂
 
Ilikuaje mkuu😁
Kipindi iko tulifanya maombi mkoa Xkutoka wiliyani mpk kufika mkoani kwenyew ukaguzi umefanyika kila kitu na udharirishaji Mimi niseme Ivo mwisho wa siku nahela wakaitaji sasa nikabaki na maswali kama walikua hawatuitaji sinibora wangetuacha kule wilayani
 
Kipindi iko tulifanya maombi mkoa Xkutoka wiliyani mpk kufika mkoani kwenyew ukaguzi umefanyika kila kitu na udharirishaji Mimi niseme Ivo mwisho wa siku nahela wakaitaji sasa nikabaki na maswali kama walikua hawatuitaji sinibora wangetuacha kule wilayani
Mimi nilifika mpaka msata kaka kwenye vipimo.. katika sehem unatakiwa umuombe mungu au kama una mbanga unatakiwa uisumbue ni pale kuna figisu nikajaza kuna fomu mtapewa mjaze sijui taalifa zenu binafsi nikajaza kuna taratibu nyingine mtaona nikafanya sasa kwenye vipimo nikafanya yakasomwa majina ya unfit langu likawepo oya wana walikua wanalia tulitemwa 250
 
Mimi nilifika mpaka msata kaka kwenye vipimo.. katika sehem unatakiwa umuombe mungu au kama una mbanga unatakiwa uisumbue ni pale kuna figisu nikajaza kuna fomu mtapewa mjaze sijui taalifa zenu binafsi nikajaza kuna taratibu nyingine mtaona nikafanya sasa kwenye vipimo nikafanya yakasomwa majina ya unfit langu likawepo oya wana walikua wanalia tulitemwa 250
Wewe wasema wakati sisimila kitu tulikua tushamaliza
 
Back
Top Bottom